Serikal sasa inachukua hatua.na nanaomba mama waziri alisimamie hili.ndugu zetu wanateseka.mtu ana degree .wengine masters .hawaheshimiki makazin.NFT.waachien watoto waende zao Tigo.angalau wapate raha ya kisomo walichosoma.mtu unamkata nusu kwa nusu mshahara.as if mliwasomesha.the real salary...
Izi agency zinatunyonyaaaa saaana.kuna mshikaj wangu yupo tigo customer service anapata lak 5.kutoka campum moja ipo mikochen Nft.wakat mwajir analipa milion na kitu.yaana anagawana pasu kwa pasu.maternity mtu akienda halipwi.likizo shidaaa.health insuaranca mtu mmoja tu.imagn kama una...
Khaa.naona kama unaingilia uhuru wa watu vile .status ya mtu kwenye sim inakuhusu .?kaandika yeye.kama wewe haikuhusu sasa inakukera nn.yeye kumsifia hubby wake.jaman.
Acha kuanza kujitesa na mambo ya watu.fatilia yako
No one is allowed to do thing overrrr.even a boy or girl.unafikir ata mwanaume aki over do kufanya vitu va kijinga.nan atakubal kuolewa na mwanaume uyooo?
Gpa ni namba tuu.we nenda.
Watu na gpa za 4 uko.ukute kujielezea hawawez.kiingereza kiko kushoto.
Mpaka umeitwa kwa interview gpa weka pemben kabisa.
Nenda kafanye yako.jiamin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.