Naomba wabunge wetu watusaidie sisi wafanyakazi, kilio chetu sio hiyo asilimia 15% au 14% - la asha ni ile 30% ya kodi wanayokata kwenye mshahara unaozidi 720,000. Asilimia 30% jumulisha hiyo PAYE ni kuua watu. Mbona kuna wafanyabishara wanaopata zaidi ya milioni 2 kwa mwezi lakini hawakatwi...
Ndugu yangu, hata mimi wakala wameniliza eneo la Kimara zaidi ya mara 2. Mara ya kwanza walituma msg hewa nikawapa laki 2, wakaja tena wakatuma msg hewa nikawapa laki 3. Waliporudi walinikuta nimetoa macho kweli kweli. Wakatuma msg hewa ya laki 2 nikashutikia. Nikaita watu tukamukamata - Watu...
Wizi kwa mawakala wa tigopesa - Mwizi akamatwa
Tahadhari kwa mawakala wote wa Tigopesa
Wezi kwa kushirikiana na wafanyakazi wa tigopesa wamekuwa wakiwaibia mawakala wa tigopesa kila kukicha. Wiki iliyopita maeneo ya Kimara mtu...
Wizi kwa mawakala wa tigopesa - Mwizi akamatwa Tahadhari kwa mawakala wote wa Tigopesa
Wezi kwa kushirikiana na wafanyakazi wa tigopesa wamekuwa wakiwaibia mawakala wa tigopesa kila kukicha. Wiki iliyopita maeneo ya Kimara mtu mmoja...
Wizi kwa mawakala wa tigopesa - Mwizi akamatwa Tahadhari kwa mawakala wote wa Tigopesa
Wezi kwa kushirikiana na wafanyakazi wa tigopesa wamekuwa wakiwaibia mawakala wa tigopesa kila kukicha. Wiki iliyopita maeneo ya Kimara mtu mmoja kwa Jina la Ally Abdallah alikamatwa...
Tahadhari kwa mawakala wote wa Tigopesa
Wezi kwa kushirikiana na wafanyakazi wa tigopesa wamekuwa wakiwaibia mawakala wa tigopesa kila kukicha. Wiki iliyopita maeneo ya Kimara mtu mmoja kwa Jina la Ally Abdallah alikamatwa baada ya kutoa pesa kwa kutuma msg hewa. Msg huoneka imetoka tigopesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.