sidhani kama kuna mantiki mtu anapo sema tanganyika ni zao la kikoloni, wakati hata hizo kenya, uganda, ghana, na nchi nyingine nyingi za Afrika zilitawaliwa na wakoloni na baadae kupata uhuru na kubaki na majina hayohayo nawala huo ukoloni wanao uzungumzia haupo, hata zanzibar yenyewe...
Jaribu kufikilia tena,sababuzako zaweza kua za msingi sana, ilakuondoka kwako kunaweza kusababisha madhara makubwa sana katika mchakato huu, ukawa inatafuta wanachama wengi ili kufanikisha malengo yao napengine nimtu mmoja tu ambaye pengine ni wewe utafanikisha ushndi kwa ukawa. tulia watendee...
huo ni utabili, piga goti omba subili Mungu atende, kwanini kubishana hadi mtoleane matusi? kama nilakuwezekana lita wezekana kama ni uwongo basi itajulikana tu. watanzania wenzangu Mungu yupo na bado anazungumza na watu wake.
Nikweli mkuu me nimeibiwa 40 elf, bank NMB Tawi nzega, baada ya kutaka kutoa elfu hamsin ikatoka elfu kumi, af kufatilia transaction ndan ikaonekana 50 imetoka nisha andika barua lakin had leo wapo kimya. kueni makin jaman
Haya ni baadhi ya mambo nilio yapata katika utafiti niloufanya mwenyewe. unaruhusiwa kuchangia kwa kukosoa, kutoa maoni,kuongezea mawazo na kutoa majawabu.
1. uchumi wetu unakua kinadhalia
2. pesa yetu ina''polomoka'' thaman yake kwa kasi
3. mishahara duni makato makubwa
4. uchumi...
Safi sana naipongeza serikali kwa kuturudisha enzi za mwalimu, kutuma BARUA kwa mabasi, kujulishana habar za msiba saa7 mchana REDION na kutumia SIMU moja kijiji kiza. HAYA NDIO MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA. Mungu ibariki afrika, Mungu ibariki Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.