Sina budi kusema asante sana kwenu mliotoa elimu na ushauri kuhusu hili tatizo, binafsi mchango wenu umenisaidia sana, sana tu. Naamini hata wengine mliozingatia yaliyoshauriwa ktk hii thread mtakuwa mmefaidika. Baada ya kuzingatia mengi ya yaliyoshauriwa, na hasa mazoezi na chakula, niliweza...
Ukweli ni kwamba sikumbuki kama ni juzi au jana, lakini ni kati ya siku hizo mbili. Na pia ni kweli sina uhakika kama nilisikia sauti yake niliifananisha...ningekuwa na uhakakika nisingeuliza!
Naomba ufafanuzi kwa anayejua hili; Kuna utaratibu gani wa kupata huduma ya internet ktk mobile phone aina ya blackberry kwa mtandao wowote (Tigo, Voda, Zain nk)? Unalipia kama unavyolipia maongezi kwa vocha zetu hizi za kawaida au inakuwaje?
Mwenzenu huwa natatizwa na Selection ya Form IV kwenda Form V, Vyuo nk. Huwa inakuwaje waliofaulu vizuri wanaenda A-Level, vyuo vizuri nk, lakini wale wa karibu na kufeli kabisa kama Div IV.28 hivi ndo wanaopelekwa ktk kozi za Ualimu, tunategemea nini kwa watoto wetu mashuleni wanapofundishwa na...
Uwezekano mkubwa ni kwamba wanaorudia wanakuwa hawajasoma threads zilizotangulia, sidhani kama wana maana ya kuudhi wenzao.
Just being curious, kama hujabahatika kuzisoma zilizotangulia, unajuaje kama ilishabandikwa kabla? Tuelimishane
Mimi naiona katika mitazamo miwili:
1) Kama huyu mwanamume amekuwa virgin kwa kudhamiria, huyu ni bomba, ina maana aliamua kujitunza na anajua cha kufanya pale atakapoamua kuanza kushughulika, iwe ktk ndoa au ktk mahusiano na mwenzi wake, hata kama hajui, ni rahisi kujua na kupata mwelekeo...
Nawashukuru kwa michango yenu. Can someone tell me more about these products (Mint & Siki ya zabibu/apple)? Zinapatikana wapi na hasa jijini Dar? Siki ya zabibu/apple ni juisi bila maji?
Nina uzito/unene uliokithiri na ningependa kuupunguza bila kudhurika kiafya.
Nimejaribu kusoma websites/vitabu kadhaa, wengi wanatoa ushauri/diet plans kutumia bidhaa au vyakula ambavyo naona kama ni vya kizungu, kwa Tanzania sijui kama vipo na kama vipo basi sivijui.
Je naweza kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.