Sioni kama kuna kosa lolote la jaji kumpendekeza mwanawe iwapo ana qualifications na experience kiwango kinachotakiwa.
she's after all a citizen like the rest, ila ikiwa kakiuka vipengele vya sheria ili kufanikisha hilo then the whole system ambayo imetoa nafasi kwa viongozi kuabuse power...
oh it wont show me the picture ..nimedowload lakini inasema nahitaji dongle. Samahani kwa usumbufu lakini ikiwa unajua what I should do naomba msaada wako
hivi tanzania bado tunaruhusiwa kudiscrimate watu kutokana na umri wao..huku nilipo employers hawana hata right ya kukuuliza umri wako kwenye interview..
personally I think she is turning into a supermodel rather than a firslady. there's too much hype about her being a fashionista and may be she's taking that too seriously..cover up lady
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.