Kuna ulazima wa wewe kufika mahakamani na kujifunza maana ya hizo hatua. Hizo Mahakama za chini kazi yake ni kukusanya taarifa zote na kuzifaili kwenda Mahakama Kuu baada ya kuwa zimekamilika. Lengo ni kusaidia mahakama za juu kutokuwa na mlolongo mrefu wakati wa kusikilizwa kesi husika.
Kazi...
Naomba kufahamishwa,ikitokea mtu umemhitaji kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa ajili ya kumpatia kibarua, ni wakati gani utahesabika umeasafirisha binadamu na ni wakati gani hutahesabika hivyo!?
Taarifa inasema alimbaka mara mbili.Hii inamaanisha bila msamaha angefungwa miaka 30 mara mbili ambayo ni sawa na miaka 60.
Mahakama imempunguzia ili awe kama alibaka mara moja, miaka 30 hiyo. Daah, haya mambo haya!!.
Suala siyo kuanza ama kutoanza, suala hapa ni kwamba Mungu alishindwa kuumba Ulimwengu ambao dhambi haiwezi kuanza kwa namna yoyote? Mbona wewe hapo ulipo hata ufanyaje huwezi kurudi tumboni kwa Mama yako? Mungu alishindwa kufanya dhambi ishindwe kuanza!?
Unaanzaje kujibu huo utopolo? Umeona kuna vifungu vyovyote vya katiba ya Chadema ameambatanisha ili kusapoti hayo madai yake kuwa Mdee alipaswa kuchukuliwa nidhamu na Baraza Kuu?
Mwenzako kaulizia kuhusu Shetani, wewe unamhamishia kwingine,
Vipi na wewe akija mwingine akakuambia achana na hilo,jiulize Paka yupo kwa ajili gani.
Wa paka nae akaja kupingwa kwa staili hiyohiyo na mwingine, tutafika?
Hebu badilika na uwe kama Great thinker ndugu.
Ukishagundua ya kwamba habari za Mungu ni uongo mtupu automatically na kichwa cha post hii na habari nzima inakuwa imeishia hapo.
Ndiyo maana tumewarejesha huko kwenye shina ili kuukata mzizi kabisa.
Kwa nini Mungu alitengeneza hayo mabaya?
Kwa kuwa hakukuwa na Shetani kabla huyo Shetani alipata wapi wazo la kuasi?
Na je, Mungu wenu alishindwa kutengeneza Ulimwengu ambao Shetani hata afanyaje hataweza kuasi?
Na hapa ndipo mazezeta kama nyie mlipokamatwa na walioleta hizo dini. Eti Biblia haisomwi kama Alfu lela ulela,
Kwani mkikubali tu kwamba mavitabu yenu yamejaa mapungufu kuna shida gani?
Yaani eti Mungu huyohuyo aandae Moto wa Jehanamu mwenyewe ili wadhambi awachome,
Halafu yeye huyohuyo...
Mkuu,wakati mwingine hao unaojibizana nao uwe unaangalia hata wanavyoandika ili upime uelewa wao uko level gani.
Kwa mtazamo wangu huyo mtu akiwa kajitahidi sana basi kaishia darasa la tatu primary, sasa kuchalenjiana nae kwenye mambo yenye uhitaji wa tafakuri kubwa namna hii ni sawa na kujaza...
Nimeshakwambia hicho unachokiita swali hakijafikia kiwango cha kuwa swali sababu kina makosa, wewe hutaki kuelewa halafu unatakaje?
Kama kila unachoona unadhani kinafaa kuitwa swali hata kama kina makosa wewe nikikulazimisha unitajie rangi ya wimbo wa taifa unaweza kuitaja?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.