Komba ni janga la taifa thinking capacity yake iko very low anachojua ni kukata viuno na mipasho kama mama chanja mwili wake kavimba kama puto /sanamu la michelin Jeshini alikuwa mpishi hawezi kuwa kepten huyu kiuno
Huu unafiki wa manyinyiemu ni balaa wapo walio mkimbia nyerere na chama chake wakati wa uhai wake wakahama kwenda upinzani eti leo wanajifanya ndio watetezi wake baada ya kufa mfano huyu Nyani wassira tehe tehe
Wakuu naomba mwenye kujua kampuni ya kusafirisha vifurushi (courier company) inayoweza kuniletea kipasel changu mpaka dar anisaidie ili ndugu yangu atumie hiyo na je gharama zao zipoje kwa mfano Uganda to TZ
SHUKRANI NATANGULIZA
jamani naomba kujua hivi huu wimbo wa zamani unaoimba "Baba na mama nipeni demokrasia ya mapenzi" uliimbwa na bendi gani na unaitwaje ?natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.