Ukitaka kufanikiwa, usifanye biashara iliyo kinyume na sheria! Ukija kufanikiwa mbeleni ukawa mtu mkubwa, inaweza kukusumbua kimahakama au walau ki majuto nafsini. Kumbuka KUNAKILI FILAMU, MIZIKI, VIDEO n.k na kuuza si biashara halali. Itakuwa halali tu pale una mkataba na mwenye hati miliki ya...
Hivi bado mpo zile enzi za kutoangalia mtu anajua nini, mnaangalia anajua kiingereza kiasi gani? Nchi yenu bado sana. Yaani jaribu kupitia Japan, China, Germany, France na Nchi nyingi za kiarabu, kiingereza hata sio lugha yao ya pili, wanaongea kueleweka, km huelewi uje na mkalimani wako...haiwahusu
Umesema Dunia ina watu zaidi ya bilioni 6. Hebu sasa jaribu kuwaza, iwapo watu bilioni moja tu duniani kote wanaumwa magonjwa sugu, wakija Tanzania na babu akawatoza sh 500, mwisho wa siku atakuwa amepata sh ngapi? 500x1,000,000,000=???
Ndo shida yako kubwa labda ipo hapo!!!! Bilioni 500...
Kuna pia dawa ya kiteknolojia, ni kifaa kinatoa kelele kubwa sana (yaani kama vile umefunga mashine ya kuranda mbao chumbani kwako) ila binadamu haisikii hii sauti ipo katika frequency (masafa) wanayosikia panya (rodents), so kwao ni bonge la kelele. Ulizia madukani mie sikumbuki maduka, ila...
Mbona Nyaya Za Umeme Kwa Yule Mchungaji Wa Pale Mwenge aka Kakobe Hamkusema Zikwepeshwe? Hamkuona Pale Kuna Maelfu Ya Maisha Ya Watu Wakati Wa Ibada. Mkasimamia Sheria Na Nyaya Zikapita Pale Pale...
Vunja Maguguli Vunjaaaaa!!!
Unakosea, haimaanishi kama mimi ninamiliki mabasi yangu sasa nimekuwa mbunge niyaache ama niachane na biashara hiyo, si kweli hata kidogo, ni kwamba kwa vile wewe unaingia siasani, zile biashara zako unakabidhi waendeshaji wengine (Delegates) kwa mfano kama wewe ni Managing Director na unatakiwa...
ni kweli hata mimi jana jioni kanipigia, ni ya kurekodiwa maana wakati inaongea muda huo huo ikawa inaita kwa mwenzangu naye akasikia maneno yaleyale. Ndiyo namba ni voda ya 54 then zote 7
Kosa letu kubwa ni kupenda kumsikiliza mpitanjia. Umekwenda huko manzese mara mbili, hujaweza kupata uhakika wanafanyanini hasa, unataka kuskia toka kwetu. Makosa. Ulitakiwa usimame kidete wakwambie wanafanyaje na unafaidikaje. Km hukua na muda nakushauri uende tena. Jua undani wa kitu kabla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.