Mkuu huwezi kudowload document maana hamna option yakufanya hivyo ila tangazo ndo hili google search utalipata
335 New Government Job Vacancies at MWANZA Region Commissioner Office and ICAP – Various Posts
September 5, 2022, 3:01 pm
hiyo apo juu
najaribu kutuma link ila tangazo lipo mabunde job ni kazi za icap wanataka watu karibu 300 ila wanatumia serikali ya huko mwanza ndiyo manadeal nayo. ssa kila nikituma email inakataa.
yani siyo email za serikali zishanikosesha kazi mara nyingi sana maana kila ukituma zinagoma
mie nipo dar kazi...
Wakuu habarini za saivi,
Nimejaribu sana kutumia email iliyo wekwa kwa ajili ya kuapply kazi ila kila nikituma inaniambia failed.
Nawaombeni msaada wa jinsi ya kutuma email, mie naona naenda kukosa kazi.
Nimetumia hii email utawala@mwanza.go.tz. imefaile na kuniletea hii massage
Sorry, we...
Habari wanaJF
Naombeni msaada wa kujua ni kampuni gani hapa Tanzania inayojihusisha na kupakia vifurushi hatarishi (dangerous goods packaging services).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.