Nimemwona ndugu balozi alivyokua anapata shida kupangua hoja za TAL
Tatizo alienda kwenye mdahalo akiwa na sumu dhidi ya lisu. ...mara eti lisu ana demolize state and sh**ting niwe. Masikini mashilingi kaishia kusema false mara not true kisa anatetea uongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mshana nakubaliana na bandiko la andiko lako
Ingawa wapinzani wa kupinga huwa hawakosi
Biblia ni neno la Mungu ni kitabu maalum cha Mungu ni zawadi pekee sana kwetu.
Siyo kama vitabu vingine lakini nikitabu cha ajabu.
Kiliandikwa na watu wengi tofauti, na walikiandika kwa UONGOZI wa Roho...
Yoshua1:9 Je! Si mimi niliyekuamuru? Uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa Bwana, Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako.
#getwellTL
#pray4lisu
Mkono wako ni mkono wenye uweza
Mkono wako una nguvu
Mkono wako wa kuume umetukuka
Huniponya na adui zangu; Naam, waniinua juu yao walioniinukia, Na kuniponya na mtu wa jeuri.
Unilinde nafsi yangu na kuniponya, Nisiaibike, maana nakukimbilia Wewe .
''IN TL PRAYING Voice's...''...
Simon yule mkirene aliyemsaidia Yesu kubeba msalaba kuelekea Goligota alikuwa mwenyeji wa kirene ambayo alijulikana kama cyrenecea ndiyo libya ya sasa .
Asante mkuu kwa kazi nzuri ya kushauri na kuelimisha elimu hii ya kilimo .nahitaji pdf za nyanya na tikiti,email yangu ni ndammaelias2000@yahoo.com nijulishe cost yake .barikiwa sana kiongozi.
Akiwa waziri mkuu 2015 kama avyojipambanua umeme wa grid ya taifa aliowekeza ,nchi nzima atupeleka na zaidi ya hapo surplus yake nchi za jilani atazineemesha.....!MATOKEO MAKUBWA SASA pathetic
Hii mizee mingine ni zaidi ya hatari.
Wana jamvi habari!
Kwa upeo ulio wazi SIASA ni leo , jana na kesho juu ya maisha ya mtu na taifa kwa ujumla.
Politics operates at every level of our daily lives.Decisions relating to the food we eat ,the employment we seek ,the leisure activities we undertake and the people with whom we choose...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.