Wana jamii mi nadhan kama kuna mtu yeyote amejiunga na ma group ya kilimo wats ap ani add kwa namba hii 0717113999 na kama hamna vp kama tutaanzisha group itakua rahs zaid kusaidiana na kupata changamoto na mafunzo meng zaid kwa haraka kuliko hapa.
Ni ushaur tu wanajamii
Wadau nimedhamiria kuanza biashara ya bodaboda .............nipo maeneo yaliyochangamka kiasi bodaboda zipo lakini nyingi SAN LG,SUN LG,BETTER, na jamii nyingine zinazofanana na hizo .....nawazo la kununua boxer najiuliza kweli inaweza ikaleta ushindani na hayo matoleo mengine katika...
Nimefanikiwa kufikisha kias cha mil 6 nahtaj kufanya biashara na kuwekeza .... I've some ideas ila naamn bila mawazo na ushauri wa watu wengne naweza ncifike mbali ..nahtaj kujifunza kujifunza kupitia ninyi friends nahtaj idea zenu kama ni wewe unakiasi hicho ungeanzisha biashara gan .......kwa...
Kuna dem nampenda sana aliwah kuwa du wa rafk yang na had xaiv nachat nae ila bdo:hajajua mi ninan sasa hapo wadau naombeni ushaur nifanyeje na dem namzimia sio kitoto
Wandugu kama kuna mtu anajua jinsi ya kuongeza OS (operating systeam) ya simu hasa android devices anisaidie mana nimeckia kufanya hyo ki2 inawezekana japo cjampata mtaalam hata mmoja................kwa maendeleo tu kiroho safi
Hili lishakua tatizo sasa mana kama sio dawa ya kuongeza kinyengelele bac ya kuongeza ham ya tendo au yakuchelewesha ukipona na hapo bac ya kufanya uende nying dadek kama umepona kama mimi jipe heko mwenyewe
Jamani matatizo tumeumbiwa wanadamu sio wanyama mimwenzenu nimejitahidi sana kuacha kujiponoa mwenyewe(nyeto) lakini nimeshindwa.......kama kuna fawa au njia mbadala plzzzzz tuchangiane mawazo ..........ba ndugu
Dawa kukamata hao hao wabunge kwanza 2dide ili wengne wajifunze wajue kweli uvumilivu wa ku2fanya sisi ndo chambo umefika mwisho,haiwezekani kila cku sisi ndo 2nakufa tu wao hata mikwaruzo usoni hawana :(
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.