Hebu twambieni nyie Tanesco huu ngao hapa Kibong'oto utaisha lini? hii ni hospital ya TB imezungukwa na raia lakini umeme ni tatizo tunaupata kwa mafungu, unaamka asubuhi umeme upo baada ya masaa 2 mnazima unarudi alasiri saa 9 ikifika saa 3 usiku mnazima shida nini? hivi mnajua kadhia...
Here is a list of the latest 20 cases versus DP World in international arbitration court:
1. DP World v. Kenya (2022). The International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID) is currently hearing a case brought by DP World against Kenya. DP World is seeking damages for alleged...
Here is a list of the latest 20 cases versus DP World in international arbitration court:
1. DP World v. Kenya (2022). The International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID) is currently hearing a case brought by DP World against Kenya. DP World is seeking damages for alleged...
Kama unajua sheria, driving licence ya nini ina msaada gani? Mbona kuna uhakiki wa vyeti? Nimeuliza kwa watu binafsi wasio waajiliwa kwa fani ya udereva
Ndugu zangu naomba tujadili umuhimu wa kuwa na driving licence kwa watu ambao wanamiliki gari binafsi na zisizo za kibiashara.
Je, kwanini isiwe kwa madereva wanaoendesha gari za biashara kama mabus, maloli, tax na wale ambao wataomba kazi za udereva kwenye taasisi mbali mbali?
Nini faida ya...
Kaka mwezi wa pili huu nimefanya kazi na halmashauri za wilaya na uhamiaji, nadai hadi nachoka ukiuliza jibu mfumo wa hazina na BOT ndio tatizo malipo yamekwamia huko.
Huo mfumo unasumbua sana karibu mwezi sasa, tumetoa huduma kwenye taasisi za serikali, kila ukienda kudai malipo yako, kwa upande wao washaruhusu malipo, tatizo hazina ndio kikwazo kuruhusu malipo yaingie kwenye akauti zetu, jambo linalotukwamisha shughuli zetu, tunaomba wahusika wa huo mfumo...
Nini shida hapa, mara nyingi nikienda sehemu zenye baridi, au ukifika msimu wa baridi napatwa na tatizo la kubanwa na kifua kama mtu mwenye homa ya niumonia mara tu ninapokunywa maji au tunda lolote lenye majimaji nyakati za asubuhi?
Ndugu zangu naomba msaada wenu, natakiwa niende kisiwa cha Mafia kikazi hivyo niandae bajeti ya safari.
Ombi langu nataka msaada wenu kujua gharama za usafiri toka Dar hadi Mafia iwe kwa ndege au boti na gharama za malazi hasa Lodge.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.