Search results

  1. K

    Njia mahususi ambazo NCD inaweza kuwasaidia wafanyabiashara wakubwa na wadogo kupata vitu mbalimbali kwa urahisi:

    * Wafanyabiashara wanaweza kutumia NCD kupata anwani na simu za biashara zinazotoa bidhaa au huduma wanazohitaji. Hii inaweza kuwasaidia kuokoa muda na juhudi za kutafuta biashara hizi. Kwa mfano, mfanyabiashara mdogo wa nguo anaweza kutumia NCD kupata anwani na simu za maduka ya rejareja ya...
  2. K

    Tujuane wadau wa biashara, ulipo na bidhaa zako

    National Commercial Directory ni tovuti inayotoa orodha ya wafanyabiashara kutoka Tanzania na nchi nyingine duniani kote. Tovuti hii inasaidia wafanyabiashara wadogo na wakubwa kwa njia kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Kuongeza upatikanaji wa wateja. National Commercial Directory inasaidia...
  3. K

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Ninakuandikia kukujulisha kuhusu njia ya kupata orodha ya wafanyabiashara ndani ya Tanzania. Orodha hii inajumuisha maduka na ofisi zinazotoa huduma mbalimbali, kama vile: maduka ya nguo maduka ya viatu maduka ya vifaa vya nyumbani maduka ya vifaa vya ofisi maduka ya vifaa vya michezo maduka ya...
  4. K

    Tafuta wauuzaji wa water pump Tanzania

    Je, unatafuta muuzaji wa water pump Tanzania? National commercial Directory ndio mahali pa kwenda! Tuna orodha kamili ya wauzaji na wasambazaji wa water pump nchini Tanzania. Unaweza kuchuja matokeo yako kwa eneo, aina ya pump, na bei. Pia unaweza kusoma hakiki za wateja ili kupata muuzaji bora...
  5. K

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Je unashida na pump za Maji zinazotumia Solar? National Commercial Directory inakupatia Orodha ya wauzaji na wasambaji wa Pump za Maji za solar ndani ya Tanzania. Ingia hapo :Solar Water Pumps | Tanzania National Commercial Directory - NCD
  6. K

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Je unashida na pump za Maji zinazotumia Solar? National Commercial Directory inakupatia Orodha ya wauzaji na wasambaji wa Pump za Maji za solar ndani ya Tanzania. Ingia hapo :Solar Water Pumps | Tanzania National Commercial Directory - NCD
  7. K

    Nitapata wapi solar panels orginal ambazo zinaweza kusukuma pump ya maji kwa wingi na je zinaweza kuwa pannel ngapi na zitakuwa na gharama kiasi gani?

    Salama mkuu! Mie Sio mzoefu sana kwenye solar lkn najua kuna Sehemu nilipata link ya wauzaji wa Pump za Maji zinazotumia Solar. Pale nilipata contacts za wauzaji kama 100 ambao wanashughulika na uuzaji wa hizo solar pump kwahio ikanipa uwanja mpana wa kuchagua iliyo na bei nzuri maana niliweza...
  8. K

    Umuhimu wa Biashara yako kupatikana kwenye Directory

    Wacheki watu kama National Commercial Directory kupitia www.ncd.co.tz.
  9. K

    Umuhimu wa Biashara yako kupatikana kwenye Directory

    Directory ni Sehemu ambayo inaorodhesha majina ya biashara mbalimbali za eneo husika. Mara nyingi hizi Directory za biashara huonesha Sehemu biashara yako ipo, namba za Simu na tovuti yako. Directory husambazwa Sehemu nyingi tofauti tofauti na hutumiwa na Wafanyabiashara kutafuta wateja na...
  10. K

    Jipatie Orodha ya Makampuni yote ya serika na Mashirika binafsi kwa Urahisi

    National Commercial Directory Ukihitaji namba za shirika lolote lile la kiserikali na baadhi makampuni ya binafsi na hata mashirika yote ya kimataifa utapata hapa www.ncd.co.tz Utapata: -Namba zao za Simu -Sehemu Walipo(ofisi) -Email zao -Website zao Kwa mfano Kwenye Directory yetu...
  11. K

    mashine za kumwagilia zipo

    Hapo ni wasiliana nao eenh?
  12. K

    Msaada wa kupata chuo

    Karnataka University India kinatoa nafasi ya kusoma pre-university kwa waliomaliza form 4 kwa miaka miwili na baada ya hapo unaendelea na degree kwenye course za science,computer na biashara. Tuwasiliane kupitia aahmeda50@hotmail.com kwa maelezo zaidi.
  13. K

    Karnataka college India

    Ndo maana nikasema kwa zaidi tuwasiliane.
  14. K

    Karnataka college India

    Qualifications ni mtu mwenye D 3 anaruhusiwa.Na ukimaliza hio pre university ni course kamili ambayo mtu anaweza kusoma Chuo chochote duniani kwa level ya degree. Na fees kwa miaka yote miwili ni $3000.
  15. K

    Karnataka college India

    Computer Science, Statistics, Business Studies, Accounts (CSBA) 2. Computer Science, Economics, Business Studies, Accounts (CEBA) 3. History, Economics, Business Studies, Accounts (HEBA). Hizi ni baadhi ya course zitolewazo kwa pre university kwa wale wote waliomaliza form 4.Chuo kinaitwa...
  16. K

    chuo gani kizuri kwa kusome computer science?

    Kama uwezo upo kidogo kasome India.Kuna mji unaitwa Bangalore ni kitovu cha IT.vyuo vipo kibao. Kama ukiwa interested niambie.
  17. K

    Msaada:maajenti wa vyuo mbalimbali vya nje

    Mimi agent wa chuo India. Kama upo tayari tuwasiliane mkuu,hakuna wizi wala magumashi ni uhakika mtupuu. E-mail: aahmeda50@hotmail.com
  18. K

    Kipi ni bora kwenda a-level au college?

    Kusoma college ni gharama ukilinganisha na chuo!
  19. K

    Kipi ni bora kwenda a-level au college?

    Kama uwezo wa kujisomesha upo bora uende chuo na kama haupo nenda A-level.Kama hela ipo unaweza ukasoma India pre-university itakuwezesha kuwa exposure na uwezo wa kuona maisha kwa upande mwengine wa shilingi!
Back
Top Bottom