Search results

  1. Tarakilishi

    Rais Samia inaweza kuwa unafanya makusudi au wasaidizi wako wanakupotosha. Wakulaumiwa ni wewe

    Haina mashiko Sent from my Infinix X6817 using JamiiForums mobile app
  2. Tarakilishi

    Omba msimpate rais ambaye anafikiria 'interest' na maslahi yake tu!

    Sijayaona hayo unayosema kwa Rais Samia. Hayo yote alikuwa nayo jiwe. Angalau Samia kidogo anajali hatma ya mtanzania kwa ujmla wake. Samia si mkamilifu but is doing better kwenye angle nyingi sana ukilinganisha na Jiwe Sent from my Infinix X6817 using JamiiForums mobile app
  3. Tarakilishi

    Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

    Umesema kweli kabisa Sent from my Infinix X6817 using JamiiForums mobile app
  4. Tarakilishi

    Karibu tufahamishane kuhusu aina tofauti za bathtub, jiko, karo na vyoo

    Hivi kama hili bei yake inakuwaje mkuu? Sent from my Infinix X6817 using JamiiForums mobile app
  5. Tarakilishi

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Huo utomvu ni dawa ya chunjua, huwa unapakwa palepale kwenye chunjua na sio sehemu isiyohusika.
  6. Tarakilishi

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Ewaaa exactly [emoji817]!! Umeupata wapi huu mti mkuu?
  7. Tarakilishi

    Mbarali: Ng'ombe zaidi ya 400 ambao ni mali ya Wananchi kupigwa mnada leo

    Sio dhambi bro, ukienda mikoa ya wafugaji hali ya jangwa ipo dhahiri kabisa. Ni lazima tuziheshimu sheria za mazingira tulizojiwekea.
  8. Tarakilishi

    Mbarali: Ng'ombe zaidi ya 400 ambao ni mali ya Wananchi kupigwa mnada leo

    Sahihi kabisa. Lazima tuyalinde mazingira kwa gharama yoyote ile, huo ndio uhai wetu na watoto wetu. Monduli na Lungido hakufai kabisa, ni kukame balaa, nenda huko Shinyanga ni kukame hatari. Mifugo lazima ifugwe kwa kuzingatia usalama wa mazingira na utunzaji wa vyanzo vya maji. Hiyo mikoa ya...
  9. Tarakilishi

    Mbarali: Ng'ombe zaidi ya 400 ambao ni mali ya Wananchi kupigwa mnada leo

    Umetembelea mikoa ya wafugaji umeona kulivo kukame? Unataka tuharibu na mikoa yenye asili ya kilimo kisha tutaishi vipi? Mkuu lazima tubadilike na hakuna mabadiliko yasiyo na maumivu. Mifugo hiyo ipigwe mnada kama wanaweza watanunua wao wenyewe na wasipoheshimu sheria watanyang'anywa tena...
  10. Tarakilishi

    Pendekezo la Kuundwa Tanzania Emergency and Rescue Agency (TERA)

    Hicho chombo tayari tunacho, Jeshi la zimamoto na uokoaji. Shida kubwa ni kuwa, Zimamoto imemeza masuala ya majanga mengine! Binafsi wazo lako naweza kuliboresha kidogo kwa kusema Jina la jeshi la zimamoto lifutwe, liitwe hilo jina ulilopendekeza. Halafu structure ya jeshi hilo ibadilike, kuwe...
  11. Tarakilishi

    Tutajie orodha ya kozi ambazo hazitoi ajira ili tupate kuzifahamu

    Fact, biashara, accounts na uchumi. Graduates ni wengi sana competition ni kubwa sana kupata ajira ni ngumu sana. Ukisoma hizo course zaidi sana labda kama unataka kwa ajili ya kujiajiri. Kwa maoni yangu binafsi nashauri kijana kama anasoma basi asome kitu atakachotumia kujiajiri na sio...
  12. Tarakilishi

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    True, mama akiumwa typhoid hunywa dawa hii na hupona kabisa.
  13. Tarakilishi

    Ajali hii imetupa kujua, wananchi si kipaombele cha viongozi wao!

    Hili ndio jambo la msingi zaidi
  14. Tarakilishi

    Ajali hii imetupa kujua, wananchi si kipaombele cha viongozi wao!

    Umeambiwa moja ya sababu ya ndege kuanguka ni hali mbaya ya hewa. Sasa kama kuna hali mbaya ya hewa ni vipi ungepeleka chopa hapo? Jielimishe, haihitaji akili nyingi kuelewa vitu vidogo kama hivi
  15. Tarakilishi

    Ajali hii imetupa kujua, wananchi si kipaombele cha viongozi wao!

    Jielimishe kwanza. Unadhani serikali imeshindwa kupeleka chopa pale?? Elimu elimu elimu!
  16. Tarakilishi

    Ajali hii imetupa kujua, wananchi si kipaombele cha viongozi wao!

    Umeambiwa kulikuwa na hali mbaya sana ya hewa, hivyo kuruka angani ilikuwa ni risk. Pia kwa wanaofahamu Bukoba, kutoka airport hadi hospitali huitaji ndege, maana ni dk tatu hadi tano kwa gari. Tatizo mnaongea msiyoyajua, kila mtu anajifanya anajua! Hii nchi ngumu sana
Back
Top Bottom