Mabeberu ndivyo walivyo, hutangaza threats ili wapate uhalali wa kuvamia na kuiba. Nachokiona Ukraine itakuwa kama Iraq ya Saddam Hussein. Watataka wamtawale, akiweka kichwa ngumu watampindua na kumwua.
1. Judge mkuu sio judge of the high court, alikuwa mhadhiri wa sheria UDSM
2. Attorney General hana qualification, alikuwa lecture UDSM
3. Member of the Tanganyika Law Society hajulikani ni nani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha kinachotafutwa ni makosa ya kujaza form, na sio sera wala malengo ya mgombea? Vipi taasisi nyingine kama bank, NIDA, vyuo vya elimu nk. wakifuata mfumo mnaoutumia ninyi kuchuja waombaji?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.