Mtoa mada mpumbavu kabisa! Nani alikwambia wasukuma washamba? we ndo mshamba pumbavu mkubwa wewe. Tena ukome kuwaita wasukuma washamba. shenzi kabisa wewe.
Amin amin nakueleza mtoa hoja, usishangae kuona mwaka 2015 kwenye uchaguzi mkuu wabunge wote mkoa wa mtwara kutoka C.C.M pia madiwani wote manispaa ya Mtwara mjini wakawa wa C.C.M. Nawajua vizuri wamakonde ni wepesi kusahau
Al Noor Kassum (born 11 January 1924) is retired Tanzanian politician. Educated in Tanzania and the UK, where he was called to the Bar at the Inns of Court in London, Al Noor Kassum was a prominent figure in Tanzanian politics and the Ismaili Muslim community after the country's independence. He...
Mchakato wa katiba ni mpango wa CCM kuhakikisha wanatengeneza rasmu mbovu kabisa ya katiba mpya ili wananchi waikatae kwenye referundum halafu katiba ya zamani iendelee kutumika maana tangu mwanzo hawakuwa na utashi wa kuandika katiba mpya (rejea maneno ya Werema- mwanasheria mkuu na Kombani-...
hata hivyo mbona hadi sasa pamoja na kutokuruhusiwa viboko mashuleni walimu bado wanawatandika viboko wanafunzi kwenye mashuleni. Nimeshuhudia hilo katika shule nyingi tu. Labda shule za mjini lakini shule za vijijini, viboko kama kawaida
mtoa mada! nenda kwenye ofisi ya msajili wa vifo na uzazi ndiyo utajua statistics ya kupungua au kuongezeka kwa vifo, usiongee bila data, matukio yapo kila siku, kila mwezi na nyakati zote hapa tz. tusidanganyane.
mtoa! nenda kwenye ofisi ya msajili wa vifo na uzazi ndiyo utajua statistics ya kupungua au kuongezeka kwa vifo, usiongee bila data, matukio yapo kila siku, kila mwezi na nyakati zote hapa tz. tusidanganyane.
Hivi kuna ugaidi mkubwa kushinda ule wa kiongozi wa chadema bw.lwakatare, ambapo mbaka dakika hii nashangaa kwanini hajabanwa na kutaja mtandao wake wote!
Huna hoja, angeshushiwa mmakonde ungesema kwanini siyo mzaramo? Nashangaa sana hakuna hata mtume mmoja aliyetokea Magharibi hata mtume Issa ambaye nyinyi mnamwita Mungu ilihali hana sifa ya kuwa mungu, hakutokea huko magharibi, sasa inakuaje wamagharibi ndio wamewaletea dini yenu. duh hivi...
Uislamu haujaanzishwa na waarabu bali ameshushiwa mtume Muhammad (s.a.w) ambaye ni muarabu kama walivyoshushiwa akina mtume Ibrahim, Is-hak, Yakubu, Suleiman, Issah ili kuwaeleza watu wa zama zao mfumo sahihi unaotakiwa kufuatwa na binadam kama M'Mungu alivyowaagiza.
wewe ndio hamna kitu kabisa na haifai hata kujitambulisha x-cop, kesi za mauaji hazina jazba wala hutakiwi kufanya kazi kwa ubaguzi wa dini, eti kwa sababu aliyeuwawa ni padri, acha uchunguzi ufanyike, watu wakijiridhisha kisha mtuhumiwa apelekwe mahakamani.
mbona viongozi waislam wanapojaribu kudai maslahi ya waislam wanaowaongoza maaskofu ndio wanakuwa kimbelembele kutoa matamko kwa jambo ambalo haliwahusu.
Ujumbe wa kuifuata njia sahihi ulishatufikia, Hatuwezi kurudi nyuma na kuanza kuabudu na kuomba mapango au binadamu wenzetu kwani havitusaidii kitu vyote hivyo viko chini ya mamlaka ya M'Mungu, M'Mungu ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.