Kweli kabisa upo sahihi- Dawa za asili zina ponya kabisa na sio Kutuliza kama hizi za Wazungu. Mfano kuna mti mmoja unarudisha nguvu za Kiume baada ya matumizi ya mwezi mmoja na anakuwa sawa kwa miaka mingi mbeleni. Lakini Wazungu wana promote Viagra ambazo mtu akitumia kwa muda fulani tatizo...
Kuna Dawa za asili zinatibu Kisukari na kansa. Ikumbukwe kuwa haya Magonjwa yalikuwepo Africa ata kabla ya Watu weupe kufika Barani Africa. Je Babu zetu walijitibu na nini???.....China mpaka leo zipo hospital 100% zinatibu kwa miti shamba. India pia wana official Taasisi ya madawa ya...
Huu mchezo upo sana kwenye Tecno na Infinix. Yes wanaiba MB tena nyingi tu... baadhi ya nchi TCRA zao zimewapiga stop ila hapa TZ bado wanaiba sana
https://www.gadgets360.com/mobiles/news/tecno-w2-phone-malware-xhelper-triada-preloaded-preinstalled-transsion-steal-data-money-2286354/amp...
Aliingiaga anga za Abby Cham😂😂Kilichomkuta mpaka Leo ,Ataji ata jina la yule Binti😁 Kila Mbwa ana siku yake. Atanasa tena tu.... ni mdharirishaji sana... mpaka Leo Menina ajapata haki yake!! Na wakati Kesi ya Menina Mwijaku angeshakuwa amefugwa kwa kuvujisha ile video.... ila Siku moja at kuja...
Ficha upumbavu wako. FM frequency kila mji unapangiwa masafa (frequency moja tu) na FM ina Total 100 Stations kwa kila mkoa:
The FM radio band is from 88 to 108 MHz between VHF television Channels 6 and 7. The FM stations are assigned center frequencies at 200 kHz separation starting at 88.1...
Air craft Engineer,Aviation Engineering na Upilot vinalipa na kazi nje ya Tanzania ni nyingi sana. NIT Mabibo wana hizi kozi na pia Kijana yeyote wa Kitanzania anetaka soma kozi hizi 100% anaweza pata mkopo toka Bodi ya Mikopo. Tembelea website ya NIT na kujua requirements za Kozi so aanze omba...
Ni ajab
Ni jambo la Kushangaza Quraan Ina Vitabu toka kwenye Bibilia Agano la kale na jipya. Lakini Quraan hiyo hiyo inasema na kusisitiza kuwa Maadui wakubwa wa Waislam ni Mayahudi na Wakristo .
Pia Quraan inasema Yesu ajafa na pia atarudi Tena na kweli alifanya miujiza.... lakini awamwamini...
Mt 6:16 SUV
Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana; maana hujiumbua nyuso zao, ili waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambia, wamekwisha kupata thawabu yao.
Warabu wanaswali kuliko nyie Waislam wa Bonyokwa! Mnalazimisha kujitoa Sigda ili Watu woote wajue kuwa mu watu...
Mwiko no 1 kwa any Agent ni kujulikana yeye ni nani kwa Yeyote yule ambae sio agent ajalishi ni mkeo au nani.Ma agent wa huku Manzese wengine wakilewa tu wanajitaja kwa sifa na wengine wanatoa Service Hand Guns ili wajulikane😂 Mwamba huyu hapa...
Japo VETA wana kozi za Ufundi ujenzi, Vijana awataki kusoma.... ata kwenye Fenicha pia ni majanga. Wachina wana vyuo wanasomea ndo maana ata Gereji zao za magari hapa nchini wapo makini sana na uhaminifu juu. Ukienda Gereji za Kina fundi Iddi Itabidi na wewe uwe saidia fundi😁😁Ukiwaachia gari...
Ukweli ni kuwa Mafundi wengi awajui jinsi ya kuezeka hizi aina ya paa! Tanzania ya sasa Vijana awataki somea fani yeyote..... wanapenda Short cut. Kuanzia kwenye ufundi magari,simu,Nyumba ndo kabisa unakuta fundi anaweka tiles Chooni maji ayaendi😭. Jirani yangu baada ya kubadilisha mafundi zaidi...
Yap upo kweli! Majini ni wale Malaika Ambao Mungu aliwatimua Mbinguni na kuwatupa Motoni(Shetani na Malaika zake- Mashetani) Ila wanaswali kama waislam.
“Say, [O Muḥammad], “It has been revealed to me that a group of the jinn listened and said, ‘Indeed, we have heard an amazing Quran (i.e...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.