Mimi sidhani kama kuna lolote linaloendelea isipokuwa sheria zetu ni mbovu. Kwanini wabunge wetu waliamua kui trash shilingi yetu kwa kupitisha sheria zinazomtaka mtanzania kutumia $$? Sheria hizi ni za:
1. Madini: Mtanzania yeyote anayetaka kumiliki vitalu vya madini, kulia tozo mbalix2...
Unafiki wake tunaujua na hata chuo alitusumbua kwa roho ya ubinafsi. Yuko kimaslahi zaidi...kapewa lamba lamba kwa kuwa huwa hawezi kuchukua maada yeyote bila ....
Mmh kumbe vyama vya siasa zinavuta mkwanja mnono kama hivi yaani wanadai hazina millioni 935! Ndiyo maana wanagombana wala si maslahi ya wananchi mbali ni ruzuku.
Yaani unasema wewe ni tumaini kutupandishia bei? Wewe ni hope kuficha pesa za miradi eti kampuni imeona ni faida kuziweka kwenye akaunti ya muda maalumu inayolipa?
Wewe unashauri wakosee TANESCO watumbuliwe EWURA? I dont think the your iq commands rationally.
Unastahili kutumbuliwa moja kwa moja.
Issue hapa ni lengo la pesa husika. Kama zimeletwa kwa kazi fulani ztumike siyo watu wakoswe huduma au miundo mbinu eti umeweka fixed deposit inazaa. Mwisho wa mwaka irudi hazina haijatumika. Hapa JPM yuko sahihi kabisa.
TANESCO hapa mwanzilishi anastahili siyo regulator. Kwa mfano mambo...
Kwa uwazi wazi JPM anapiga kazi sana. Wapo wengi walipita wala hatukuona wamefanyi. Wengine walikaa kwenye nyadhifa kuu miaka 10, miaka 2 nk lakini siwezi kusema wamefanya nini hasa.
JPM yuko mwaka mmoja madarakani na nusu mwaka wa kibajeti lakini watu mapovu yamewatoka. Ndiyo maana huwa...
Mafisadi wana tentacles nyingi ...ngoja Rais wangu JPM awanyoshe kwanza.
Anayepambana na mafisadi anashambulia kwenye mitandao kwa visingizio uhuru wa kujieleza...ukiandika vitu visivyo na mashiko utanasa kwenye ulimbooo
Propaganda za cdm kwa watu walikuja kutuibia maliasili (wakoloni) zetu. This is time we are vigilant enough. Tunataka unbiased coverage kutoka nchi ambazo hazina na maliasili zetu
Mmh inakatisha tamaa. Lakini cha msingi date na mwanaume/mwanamke ambaye ni best friend wako. Hata kama ukimvulia nguo mume/mkeo atakutenda tu.
Mbili, muwe mna hobbies sawa. I mean muwe mnaendana kimatendo na mawazo. Hapa unatakiwa muda kumjua.
Tatu, kwa wanaume lazima mjue mwanamke cha...
Wewe Nyani Gabu mtanzania kutoweza kuongea english ni aibu? Vipi mzungu kutojua kuongea kiswahili? Wewe uko mentally colonised n brainwashed.
A leader should lead his people to the desired direction Not eith her/his ability to slang foreign languages.
May be you are in foreign countries where...
Hii kwa vodacom/tigo etc walikuwa hawatoi ufafanuzi wakiwa wanatukata. Hakuna kilichoongezeka walikuwa wanatoza VAT tangu zamani ila walikuwa hawakuonyeshi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.