upo serious! du we utakuwa ni either ni mtoto wa mitaani au huna baba/ ulikataliwa Na baba yako kabla hujazaliwa so ulizaliwa Na stress za kukataliwa Na baba yako una psychological problem, unatakiwa kuombewa sana
Ndiyo mkuu tusitishiane kufukuzana kwenye vyama kwa sababu ya kutofautiana mitizamo au kufuata mtizamo wa mwnykiti, hivi "zidumu fikra za mwenyekiti" bado zipo? cc W.J Malecela
Mwaka 2010 waliojiandikisha kupiga kura walikuwa ml 14, na waliopiga kura walikuwa mil8, waliompigia kikwete walikuwa mil5 sawa na 30% ambao hawakumchagua na wasiopiga kura ni mil9 sawa na 70% kumbe kikwete hakustahili kuwa rais wa tz kwa takwmu hizo
Hata mimi siku hizi simuelewi elewi anasema tuna nchi moja ya tz yenye dola 2 wakati tuna nchi mbili? muungano si ulizali baada ya nchi mbili kuungana? mzee anazeeka vibaya huyu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.