Wakuu mnaosumbuliwa na hili Tatizo hebu jaribuni Kulala Kwenye Godoro tofauti na unalotumia tena Kwa njia rahisi zaidi unaweza hata kulala Kwenye carpet Kwa siku mbili au tatu ukiona Tatizo bado lipo then Hospital Kwa check up zaidi Kama walivyoshauri watalaamu.[emoji120][emoji120]
...Nauza Dish la Zuku na Decoder yake imetumika kwa muda wa miezi mitatu tu... Bei ni elfu hamsini (50,000).. Nipo Dar es salaam... Unaweza kunicheck kwa number 0713 590607.. shukrani
..Naomba na mimi niunganishe biashara yangu kwenye uzi huu..... Nauza king'amuzi cha Zuku na dish lake....nimekitumia miezi mitatu tu...Nipo Dar bei ni 70,000 tu... #0767 590607
...Mkuu hiyo ndio market value ya hiki kiwanja kwa sasa kwa wanaoishi Dar es salaam wanafahamu issue ya kutafuta viwanja ilivyo tena vyenye hati ndio issue kwelikweli... Karibu sana
....Kiwanja kinauzwa Kigamboni Kibada Square metres 1000 Fully documented yaani kina hati kamili... Ni kizuri sana. Bei million 25. Ni pm kwa maelezo zaidi
..Wanabodi poleni na majukumu.. Msaada kwenye tuta... Hivi ni maduka gani yanauza perfumes Original kwa hapa DAR?...sehemu nilizopita pita naona mchina katawala...Nashukuru
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.