Kumekua na kawaida kwa watu wawili mnapokua kwenye mahusiano ya kimapenzi kuleteana visa vya hapa na pale especially mmoja anapogundua kwamba mwenzake anampenda sana.
Mwanamke au mwanaume anapogundua anapendwa sana na mwenzake basi ataanza kumfanyia visa kama vile kutojibu sms zake kwa wakati...
Mimi nina mke watoto wako shule, we endelea kusubiri kujirahisisha kwa mabosi huku umri unaenda ukiamini watakuoa mwishowe wanaishia kukuchezea na kuoa wengine.... Jiulize kwanini bosi kaenda kuoa mwanamke mwingine na sio wewe, hapo ni kwamba kaona wewe ni malata na hufai kuitwa mke.Wewe ni...
Hii sio meme, huu ni ukweli ulio wazi
Siku hizi maisha ni kusaidiana na katika kusaidiana huko ndio maana baba anafanya kazi na mama pia anafanya kazi.
Ofisini kuna mambo mengi yanaendelea ikiwemo mabosi kuwataka kimapenzi wafanyakazi wao na hii mara nyingi hutokea kwa mabosi wa kiume kuwataka...
Tunaomba Serikali ilichunguze Shirika lisilo la kiserikali la Management and Development for Health (MDH) kutokana na yanayoendelea.
Shirika hilo lina tabia ya kuwaita vijana na kuwafanyisha project za muda mfupi lakini mara project zinapokwisha viongozi hasa hasa upande wa uhasibu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.