Kilichofanyika Arusha ni mbinu na mkakati wa kukubalika 2025. Wanawaandaa mfikiri au muamini wapo pamoja.
WanaAruuuu watapitia changamoto nzito na nyepesi kuvuka 2025. Watumie akili za mababu kutokuruhusu litokee. Wanahitaji umoja imani na uthubutu kuyashinda yajajo…
Asante kwa andiko hili. Huu ndio ukweli.
Upinzani ni biashara kama biashara zingine. Wapo likizo 11months.
Kama wananchi ‘maamuzi magumu ndio uponyaji’
Wahalifu wanateuliwa wapo kimya
Wengine tukiandika haya washika filimbi wanafuta.
Shida sio teuzi shida ni upinzani..
Upinzani - Maandamano yamesaidia nini? Hamuoni ni sawa tu na mbio za mwenge
Upinzani - wateuliwa hamuweki pingamizi hata kwa media tu mpo kimya mnasubiri maandamano mengine
Upinzani - zipo sheria zinatungwa za usajili wa vikundi vya chats za watu mpo kimya...
Siku Chadema wakijitambua ni pale wakijatambua
Badilisheni uongozi wa juu. Kuna watu wanatumia watu kujijenga wao na familia zao…
Kila mtu atatoa hesabu yake kwa muumba
Hizi sifa za huyu mwendazake hii nchi ilipakwa makaa ya moto
Hatujitambui
Tumesahau Richmond na mengineyo…
matumizi mabaya ya fedha kwa mtindo mwingine
Maandamano Maandamano yasipoe
Tusijiegeshe
Mods acheni kutudhulumu haki yetu
Let the truth be told sio kufutafuta tu kila comments za kuikomboa Taifa
Huwa sipati majibu kwa nini huyu mtu hayupo jela. Ina maana hata mahakama zooooooote duniani hakuna namna?! Kwani wanasheria na viongozi wa Chadema wanaona hili ni poa tu au mimi ndio sielewi mweh.
Pole sana Mkuu!
Hatujavaa kiatu chako
Tunakuombea Mungu akujalie moyo wa Imani Moyo wa Uvumilivu Moyo wa Ujasiri. Mke wako anajua Upendo wako kwake! Kaa karibu mpe moyo wa kuamini mtakutana tena Ng’ambo ile!
Tuombe Uzima juu yake kuliko Mauti
Kuna miujiza Amini!
Mkuu serikali si ndio chama na chama si ndio serikali! Mfumo mzima ni mbovu
Ndio maana unaona kipepe yupo kila mahali.
Katiba ndio shida
Hatujaweza kutofautisha chama na serikali
Unaweza ukawa sahihi lakini kikubwa ujumbe umefika kwa walengwa
Afadhali Chadema wamethubutu na mapungufu yao (ambayo kila Taasisi vikundi etc vina mapungufu) So tusiwabeze bali tuunge mkono juhudi zao kuliko kuvunjana moyo. aciti nccr cuf sijui ni mfano wa 👝 au ni mjumuiko wa vikao vya kupeana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.