Search results

  1. Junius

    Sauti ya Ujerumani ifungiwe matangazo yake Tanzania

    Mbona CNN wamerusha,acha upompo huoo
  2. Junius

    CCM wawapiga wamasai huko Zanzibar

    Ndo waliosema Rais hatoki Kaskazini???
  3. Junius

    CCM wawapiga wamasai huko Zanzibar

    Nilishuhudia live unyama huu pale eneo la Aman kwa Mabata, kwa kweli ni unyama na kilichonishangaza kuwa ni CCM hao hao waliolazimisha lazima Wamasai waandikwe kwenye daftari la kudumu la wapiga kura japo hawakuwa na sifa, na walipambana na watu ambao walipinga kuandikwa kwa Wamasai hao na...
  4. Junius

    Elections 2015 Alichoandika Juma Mwapachu mara tu Sumaye alipotangaza kuhamia UKAWA

    Nadhani sasa ni suala la muda tu CCM kusahaulika rasmi
  5. Junius

    Tetesi: Diamond kulipwa TZS 500,000,000 na chama

    yanatafutwa mafuriko ya Platinamz
  6. Junius

    Orodha ya majina ya wanachama wa CHADEMA walioteuliwa kugombea Ubunge 2015

    kwa mawazo kama haya ndo Afrika haiendelei, watu wanafikiria vitu vidogo vidogo, vitu vya hapo kwa hapo, mambo ya ubinafsi wa nani atapata nini, bana eee, it is all about what Tanzania will achieve!
  7. Junius

    Orodha ya majina ya wanachama wa CHADEMA walioteuliwa kugombea Ubunge 2015

    Hizi ndo siasa uchwara ambazo CCM wakizitumia kuvuruga umoja wa wapinzani, nadhana uchaguzi wa mwaka huu hilo limeshitukiwa na kuwekwa sawa, muhimu kuliko yote hayo CCM iondoke madarakani, mengine tutatambuwana mbele huko
  8. Junius

    Mwenyekiti wa UVCCM (Taifa) kujiuzulu ndani ya masaa 48 kuanzia sasa

    Sadifa hawezi kutoka CCM kwanza ameshapitishwa kuwa Mgombea wa ubunge jimbo la Donge ambako ni kwako alikozaliwa na ambalo ni moja ya ngome imara sana za CCM ambayo CUF walichukuwa miaka zaidi ya 20 angalau kufungua tawi moja tu na kufanya mkutano wa hadhara, pili Sadifa ni moja ya vijana...
  9. Junius

    Maalim Seif mwongo sana

    Migambaa hiyoooooo ovyoooooo
  10. Junius

    Prof. Lipumba ajiuzulu Uenyekiti CUF

    PROF. LIPUMBA AMEJIUZURU. TAARIFA NILIZOZITHIBITISHA HIVI PUNDE NI KUWA KWELI PROF. IBRAHIM H. LIPUMBA ALIJIUZURU NAFASI YAKE YA KUWA MSHAURI WA MASUALA YA UCHUMI KATIKA SERIKALI YA CCM YA AWAMU YA PILI BAADA YA KUJIRIDHISHA KUWA HAKUTAKUWA NA MABADILIKO YA KIUCHUMI KUTOKANA NA KUTOFANYIWA...
  11. Junius

    Kama Lowasa angelikuwa MZANZIBARI

    Mwiba upoo mramu, vipi jimbo gani mwaka huu? umepita au umekatwa? Karibu Ukawa, Dr. Slaa kanuna, wewe vipi?
  12. Junius

    Mwenyekiti wa CCM Singida ajiunga na CHADEMA usiku huu

    Labda nyie magamba mtwambie orodha yenu ndeeeefu ya mafisadi ni ipi, ili atakayetoka tujuwe keshapungua huko kaja Ukawa, vinginevyo mtulie mshuhudie titanic ikizama mnaiyona!
  13. Junius

    Matson Chizii, Ole Medeye na Mgana Msindai - Kesho kupokelewa CHADEMA

    CCM ikipona mwaka huu nanuna kama Dr. Slaa
  14. Junius

    Lowassa aendelea kuwaburuza UKAWA. Amkataa Juma Duni Haji (Mgombea Mwenza), amtaka Ismail Jussa

    kwani mbona mnachanganya habari, nilifahamu kuwa, na ndivyo ilivyoelekea tufahamu, CUF wasimamishe mgombea wa urais kwa upande wa Zanzibar, na Chadema wasimamishe mgombea urais upande wa Jamhuri ya Muungano, maana yake Chadema itafanya hivyo kwa kupitia wananchama wake yenyewe kwa upande wa bara...
  15. Junius

    Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    kwani huyu anatafuta nini CCM, baba yake alipotezea yeye yupo bado?
  16. Junius

    NEC yamuonya Nape kuhusu 'Goli la mkono'

    Weshaanza kunyooka!
Back
Top Bottom