Nilishuhudia live unyama huu pale eneo la Aman kwa Mabata, kwa kweli ni unyama na kilichonishangaza kuwa ni CCM hao hao waliolazimisha lazima Wamasai waandikwe kwenye daftari la kudumu la wapiga kura japo hawakuwa na sifa, na walipambana na watu ambao walipinga kuandikwa kwa Wamasai hao na...
kwa mawazo kama haya ndo Afrika haiendelei, watu wanafikiria vitu vidogo vidogo, vitu vya hapo kwa hapo, mambo ya ubinafsi wa nani atapata nini, bana eee, it is all about what Tanzania will achieve!
Hizi ndo siasa uchwara ambazo CCM wakizitumia kuvuruga umoja wa wapinzani, nadhana uchaguzi wa mwaka huu hilo limeshitukiwa na kuwekwa sawa, muhimu kuliko yote hayo CCM iondoke madarakani, mengine tutatambuwana mbele huko
Sadifa hawezi kutoka CCM kwanza ameshapitishwa kuwa Mgombea wa ubunge jimbo la Donge ambako ni kwako alikozaliwa na ambalo ni moja ya ngome imara sana za CCM ambayo CUF walichukuwa miaka zaidi ya 20 angalau kufungua tawi moja tu na kufanya mkutano wa hadhara, pili Sadifa ni moja ya vijana...
PROF. LIPUMBA AMEJIUZURU.
TAARIFA NILIZOZITHIBITISHA HIVI PUNDE NI KUWA KWELI PROF. IBRAHIM H. LIPUMBA ALIJIUZURU NAFASI YAKE YA KUWA MSHAURI WA MASUALA YA UCHUMI KATIKA SERIKALI YA CCM YA AWAMU YA PILI BAADA YA KUJIRIDHISHA KUWA HAKUTAKUWA NA MABADILIKO YA KIUCHUMI KUTOKANA NA KUTOFANYIWA...
kwani mbona mnachanganya habari, nilifahamu kuwa, na ndivyo ilivyoelekea tufahamu, CUF wasimamishe mgombea wa urais kwa upande wa Zanzibar, na Chadema wasimamishe mgombea urais upande wa Jamhuri ya Muungano, maana yake Chadema itafanya hivyo kwa kupitia wananchama wake yenyewe kwa upande wa bara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.