Kinachowapelekea watu kujireko video za utupu wawapo faragha ni kitu gan? Tena ikitokea mmeachana mmoja taamua kuachilia picha hizo kwanini tusitiriane?
Kwanza najiuliza unapokuwa na UPWIRU wako hivi nguvu ya kuanza kujirekodi unaitolea wapi? Maana najua utakuwa na KIMUHEMUHE cha kukata na...
Yaani mkuu ukitaja tu hilo jina la DP World mimi huku BP,Shell,Caltex,Total vyote vinapanda kwa mpigo. Na siku huanza kuharibikia hapo napoteza appetite ya kula na homa inapand akwa hasira. Ndhani mpk hapo ushajua msimamo wangu, nisaidie kama kuna mahali salama nikaombe uraia nihamie huko...
Ngoja nikupe njia nyepesi kidogo na itakusaidia kwa haraka. Tafuta majani ya mlonge mabichi, purura kisha osha na uyasage kwenye blender kama smooth kunywa asubuhi na usiku kabla ujalala. ukiiweza hii utapungua mpk utashangaa na yanakata njaa na kuondoa sumu mwilini tumia mpk uone umetosheka na...
Maini ya kuku yapo super markets unaweza kununua kwa portions upendazo nadhani yanaanzia nusu kilo sababu wao huchinjisha kuku na kutenganisha kila kitu kama sehemu ya bidhaa kujiongezea faida maana ukisema uchinje mwenyewe utachinja kuku wengi kupata maini kilo moja ila supermarkets yapo tayari.
Hili baada ya kupata hizo Sea Foods unatakiwa kuwa na kiungo kinaitwa Seafood Boil ukishakuwa nacho halina kazi ni kuosha vizuri mostly zina mchanga sana kisha unachemsha na viungo uvipendavyo kisha unaongeza hiyo sea food boil ambayo inasaidia kuongeza ladha na kukata shombo sea foods hua zina...
MAHITAJI PISHI LA CHAPATI ZA MAJI
.Unga wa ngano nusu
.Mayai mawili
.Maziwa vijiko viwili vya chakula
.Chunvi robo kijiko cha chakula
.Caroti
.Blueband nusu kijiko cha chakula
NJIA
.Chukua chombo safi weka unga kisha weka maji ya uvuguvugu kisha changanya kwa kukoga
.Weka mayai kisha endelea...
Mahitaji
Majani ya kisamvu
Karanga nusu kikombe
kitunguu kimoja
nyanya mbili
karoti moja
mafuta na chumvi kiasi
Matayarisho
1. Osha kisamvu chako vizuri kisha katakata vipande vidogo vidogo
2. Unaweza kutwanga kwa kutumia kinu au kuchemsha kidogo na kisha kusaga kwa kutumia mashine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.