Baada ya Jina la aliyekuwa akiaminiwa na watu wengi kuwa atakuja kuwa Kiongozi mzuri ndani ya chama cha mapinduzi CCM, ambayo watu wengi walianza kupoteza uaminifu haswa vijana kukatwa jina, Vijana na wasiovijana zaidi ya 10,000
wajipanga kuhamia UKAWA kutokana na utaratibu mbovu wa wanachama...
Baadhi ya watu hawana kazi ya kufanya. Hivi unapotumia muda wako kuandika vitu vingi usio na maana, itakusaidia nini? Tena kwenye jukwaa ficho kama hili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.