Search results

  1. rangau

    Chemsha bongo

    Hakuna kiti kinachoenewa na watu watatu!
  2. rangau

    DC wa Kinondoni(Makonda) yupo anamsimanga Lowassa

    Ataingia wapi UKAWA wakichukua nchi?
  3. rangau

    Prof. Kitila Mkumbo: Lowassa ameonyesha ujasiri wa hali ya juu!

    Mungu Ibariki Tanzania,Mungu Ibariki Lowasa na Mungu Ibariki Chadema
  4. rangau

    TeamLowassa sasa rasmi CHADEMA! CCM tumewaachia wenye "Kitengo" wasiomtaka rais kutoka Kaskazini!

    Ama kweli CCM itabaki kuwa Chama pinzani kuanzia mwaka huu? CHADEMA chama Tawala. Peoples Poweeeers
  5. rangau

    Tetesi: Nchimbi, Kimbisa, Saning'o, Ol na wabunge kadhaa kwenda Chadema

    Isiwe tetesi tena bali iwe kweli
  6. rangau

    Madiwani wote ishirini Monduli wabwaga manyanga CCM, wahamia CHADEMA

    CCM must surrender this year"!! Chezea nguvu ya Umma
  7. rangau

    Ukimya wa Lowassa wakitia homa Chama Cha Mapinduzi (CCM)

    Lowassa akiingia UKAWA, CCM watajichimbia Kaburini
  8. rangau

    Madiwani Kwa Lowassa Wasusa

    Uongozi si Lazima ipatikane kupitia CCM hao Madiwani wagombee kupitia Chadema.
  9. rangau

    Arusha na CCM

    Kwa Chama cha Majambazi ndo kwaheri!!!! Kidumu UKAWA!!! Mpango mzima ndo huo ndugu.
  10. rangau

    Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Baada ya Jina la aliyekuwa akiaminiwa na watu wengi kuwa atakuja kuwa Kiongozi mzuri ndani ya chama cha mapinduzi CCM, ambayo watu wengi walianza kupoteza uaminifu haswa vijana kukatwa jina, Vijana na wasiovijana zaidi ya 10,000 wajipanga kuhamia UKAWA kutokana na utaratibu mbovu wa wanachama...
  11. rangau

    Siri nzito zilizovuja kutoka Team Lowasa hizi hapa

    Baadhi ya watu hawana kazi ya kufanya. Hivi unapotumia muda wako kuandika vitu vingi usio na maana, itakusaidia nini? Tena kwenye jukwaa ficho kama hili?
  12. rangau

    Kingunge akerwa, akemea yanayoendelea ndani ya CCM

    CCM go to hell let Democractic party take the place!!!
  13. rangau

    Waganga wajaa Dodoma

    Kweli mnamwogopa EL. Karibia mnanyea chupi zenu. Mbona hamuongelei wengine? Kuna nini kw huyu mzee? Sasa akipita si mtajinyonga wengi?
  14. rangau

    Spika wa Bunge kutengua adhabu ili wabunge wahudhurie Hotuba ya Rais

    Msiseme wapinzani,semeni watanzania tunafanyiwa nini na wachache tuliowachagua watuongoze
  15. rangau

    Piga kura juu ya hili: Je wanachokifanya wabunge wa vyama vya upinzani ni sahihi?

    Jamani sijui mmemuelewa nini mtoa mada? Pungeni ndo nini?
Back
Top Bottom