angekuwa mama yako au dada yako kafanyiwa hivo ungesema ni kiki? au unaandika tu kujifurahisha.. ifikie wakati watu wafanye kazi zao kwa weledi sio manual.
mimi sio mwalimu ndugu, lakini nimekuelewa sanaa, tunakoelekea ni waalimu watakuwa hawajishughulishi na chochote, mwanfunzi afanye homework au asifanye sawa tu, au wanawatungia maswali rahisi ya 1-1=? . watu wanalaumu upande mmoja tu bila kujiuliza upande wa pili ilikuwaje? what was the trigger...
Safi sana, nilikuwa naombea sana tufikie mahali tutumie usafiri wa kawaida ili kubana matumizi; ni pesa chungu nzima zinatumika kwenye safari za kikazi kwa kutumia usafiri ghali,bora sasa hivi..kitu cha bajaji/boda boda shaaaaaaa! kwanza ni fasta kwenye foleni pia ni cheap...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.