Sidhani kama una haki kwa babu yako, wanasheria watatujibu hill, lakini kama ulishagundua babu yako anapenda sifa c utumikie kafiri upate kuendesha mradi wako? namaanisha msaidie kazi na msifie!
mbona mdada mwenyewe ni wa kawaida uzuri wake upo wapi hadi tuujadili? huyu sisemi ni mbaya ila ni wa kawaida na kama ana tabia ya kuorodhesha shida kwa wanaume pengine ndio maana wanamkacha!
Unamchukulia kirahisi sana Makongoro but Lowassa anamuogopa sana kuliko watia nia wote! kuhama chama si sababu ya msingi. Taifa hili ili liwe salama usalama wa taifa ni mhimu sana, ukitazama kwa makini baadhi ya watia nia walikuwa usalama wa taifa mfano Pinda, Membe, Makongoro n.k unapofanya...
Ukifikiria kwa kina kati ya watia nia waliotangulia, Mako, hana harufu ya ufisadi kabisa wala hajatumia jina la baba yake kujinufaisha yeye na familia yake! ameahidi kwenda kupambana na rushwa, hana mtandao atakaoulinda baadae akiwa madarakani. Atarejesha heshima ya nchi (nadhani hapa...
ukiwapima vizuri kama hakuna mtanzania aliyejitokeza Wasira anawazidi pmbv, Lowasa mwasisi wa chama hicho alimkataa 1995 na alikata jina lake mapema kabisa kwa kuwa alimjua kijana wake vizuri ana mkono mrefu. Lowasa alishapigiwa yowe ya wizi wa mabilioni kupitia Richmond kitendo cha kuhisiwa tu...
Ni imani yangu Lowassa si correct material kuwa raisi wa nchi, pia naamini Wasira pamoja na kutokuwa na harufu ya ufisadi kama alivyodai si mtu sahihi kuwa raisi wa nchi, hii ni sawa na Mwigulu Nchemba hafai hata kidogo kuwa raisi wa nchi, hata ule unaibu waziri alionao hakupaswa kuupata...
He sought the nomination of Chama Cha Mapinduzi (CCM) as its presidential candidate in 1995 but was eliminated in the early stages single-handedly by the charismatic former President Julius Nyerere, who strongly believed that Lowassa was not then correct material for the Presidency!
Kuna mkataba gani umewekwa wazi? unajua mkataba wa gesi, migodi, au unazungumzia report ya CAG? au unadhani CAG anaweka kila kitu wazi? unadhani kwa nini Capacity charge ya IPTL inailiza TANESCO?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.