Jamani habari za leo,
Mimi ni mkereketwa wa Live bands huwa nahudhuiria sana live bands ila naona wapiga Solo wengi ni chapombe balaa wanapiga huku wanayumba ukiwasogelea wananuka kimea hatari.
Kuna yeyote anayeweza kuniambia siri ya hili guitor?Ingawa inaonekana pia they are very geneous...
Hellow guys,
Kuweni makini kuna jamaa mmoja anaijifanya anitwa BEST NASSO ni msukuma wa Mwanza hata rafudhi yake niyakisukuma mimi alishawahi kutaka kuniingiza mjini kwasaabu niliandaa show mpka nikijua ni yeye kwasababu anafanana na yeye kabisa mpka Rasta ila kumbe ni mpuuzi tu nilivyokuja...
Wakuu,
Naomba kuuliza nimefikiria kuagiza Gari nimeona Cheep Car Japan kwenye BE FOWARD.
Kuna gari inaitwa WILL CYPHER inauzwa 200USD Ingine yake ni CC 1260 ni ya mwaka 2003.
Naomba wanaofahamu wanijuze niandae Milion ngapi jumla ili niendeshe gari? Na hii WILL CYPHER kwa wanaoijua zikoje...
Jamani hivi Afisa usitawi wa jamii ni mtu aliyesoma Sociology na social works tu?? je waliosoma Psychology hawawezi kua maafisa Ustawi wa Jamii??
Naomba kuwasilishaa
Mimi ni mmoja ya watu wanaowafanyia interview na kuwatrein ma BVR KIT operator nakuomba ujiandae ujue computer ni nini,inamatumizi gani ni sehem kuu za computer na.aina zake zoote za komputer na ujue kutumia word na excell kidogo na kucreate folder n.k ni mambo madogo tuu tunauliza na tukikupa...
Wakuu habari.
Naomba mwenye kufahamu chuo kinachotoa Post graduate diploma in IT au ICT anijuze na ada yake na muda wa course na mode of study kama ni full time au on line.
Asanteni Sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.