jamani mbavu zng, ss hiyo kolabo na j.lo itakuwaje na tn imeishia wp? hawa wasanii wetu shida tupo na tatizo wengi wao wamekimbia shule ndio maana wanafanya mambo ya sio na msingi na kwa staili hii ya kushow off hawatakaa waendelee. darasa muhimu jamani.
Ukicheza utaishia pabaya tena sana kuwa na msimamo kama ni binti mueleze ukweli na hao wengine wachane live kuwa na maamuzi ya kiume bhana koz umeshasema ni matajiri so wakisanukia huo mzunguko watakufanya hamna, msimamo but kama uko after money hapo hapakufai tafuta kwingine lakini kama kweli...
pole sana kijana, hutakiwi kuwaza yaliyopita maisha lazima yasonge mbele, stand strong and go ahead am sure utapata mwingine maybe huyo hakua chaguo kutoka kwa mungu na ungeweza kuumia na kuteseka zaidi ya hapo if mngeendelea kuwa pamoja, everything happens 4 a reason bro.
Hahahahahahahahahahaahaa! ndio vioo vya taifa letu hivyo, hahahahahahahaha me mbavu cna jamani ss huyu dada nahisi ameanza kula cha arusha maana m2 mzima na akili zako huwezi fanya mambo ya ajabu hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.