Bado NipoNipo: Hiki chuo kimesajiliwa na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) na si Wizara ya Elimu kama unavyodai!! Course zinazotolewa hapo za NCC hazitambuliki maana Mitaala yao bado haijapitishwa na Baraza!! Hivyo hiyo Diploma HAITAMBULIKI!!! Kwa maelezo zaidi wasiliana na Baraza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.