Hivi Huyu Jerry Ndiyo Yule Alikuwa TBC 1 Akifanya Vyema Ktk Taarifa Za Uchunguzi Kabla Ya Kukutana Na Kisanga Cha Rushwa?. Aise Yanga Toeni Huyu Mtu Hafai Na Wala Msisubiri Tena TFF Iwasaidie Kutoa Adhabu.
Hizo Trioni
Zinamsaidiaje Mtz,iwapo Kabla Ya JPM Kuapishwa Kilo Ya Nyama Ilikuwa Tsh 5 000 Na Leo Ni Tsh 7 000 Huku Kwetu!?. Yaani Ny4e Ndio Walewale Mnaokaririshwa Eti Uchumi Unapanda Wakati Huohuo Maisha Yanazidi Kuwa Magumu Kwa Mfumuko Wa Bei.Mkilalamika Mnaletewa Igizo La Kufutwa Kazi...
Hizo Trioni
Zinamsaidiaje Mtz,iwapo Kabla Ya JPM Kuapishwa Kilo Ya Nyama Ilikuwa Tsh 5 000 Na Leo Ni Tsh 7 000 Huku Kwetu!?.Nyie Ndio Walewale Mnaokaririshwa Eti Uchumi Unapanda Wakati Huohuo Maisha Yanazidi Kuwa Magumu Kwa Mfumuko Wa Bei.Mkilalamika Mnaletewa Igizo La Kufutwa Kazi Mkurugenzi Wa...
Mkuu Unataka Utafuniwe Kila Kitu As If Wewe Siyo Great Thinker? Kuna Wachangiaje Wamekusaidia Kuwa Unganisha Dots Kwa February Maropes,ndio Kijana Anaezungumziwa.
Naona Kuna Mkanganyiko Kwenye Hiyo Habari,diwani Wa Ubungo Imejirudia Mara 2. Nijuzeni Huyo Meya Wa Jiji Anatoka Kata Gani Au Ndio Vijiweni Niliyoiona Jana Fesibuku?.
Sasa Haya Yanahusianaje Na Post Hii? We F.A.L.A Kweli.Mbunge Wa Siha Aliyemwangusha Aggrey Mwanry Anaiwa Aloyce Mollel,si Mzawa Wa Kilimanjaro.Na Aliyeangusha Na Lema Arusha Ni Mollel Pia,Acha Kuleta Ubaguzi Wa Kilofa Kenge Wa Mayai Wewe!!
Sasa Haya Yanahusianaje Na Post Hii? We F.A.L.A Kweli.Mbunge Wa Siha Aliyemwangusha Aggrey Mwanry Anaiwa Aloyce Mollel,si Mzawa Wa Kilimanjaro. Acha Kuleta Ubaguzi Wa Kilofa Kenge Wa Mayai Wewe!!
Hivi Ukiwa Ccm Lazima Ujivue Ufahamu?. Ukiwekewa Pingamizi La Awali Na Mwenzako Akakushinda, Shauri Asilimia Kubwa Nalo Hutupwa Na Hivyo Kesi Ya Msingi Haisikilizwi. Unakumbuka Kesi Ya Zitto Na Uanachama Wake? Si Shauri Lilitupwa Kwa Sababu Mlalamikaji Alikosea Namna Ya Kuliwasilisha! Vipi...
Umesahau Ya Lameck Madelu Baadae Akawa Mwigulu Nchemba?. Majizi Ya Vyeti Vya Watu Siku Zote Ni Mababe Mababe Tu Na Hayatumii Akili. Ipo Siku Daud Bashite aka Paul Makonda Atanyea Ndoo Kwa Upuuzi Huu.
Kama Ni Ya Kweli Haya,basi Ni Kosa Kubwa.Kizembe Hivi Mnaweza Poteza Halmashauri. John Mnyika, Tumaini Makene Mpo Humu,toeni Maelekezo Maamuzi Ya Madiwani Waliowengi Yazingatiwe!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.