Mbona zamani tulikuwa tunachapwa zaid hata ya hivo viboko? Watoto wa siku hizi nao shida. Nishawahi kuchapwa zaid ya viboko kumi mimi. Hatuwezi kujua mwanafunza alimfanyia nini mwalimu?
Mbona anajifanya sana yeye kama mungu. Too much is harmful mechoka. Sio lazima ukamatwe ndo umake headlines, kuna vitu vingi sana vya kufanya. Jimboni kwake anaenda kweli?
Kapewa kidogo huyo sio bure. Ila ngoja tuone koz kila chenye mwanzo lazima kiwe na mwisho, na haki huwa haipotei. Transparency ni kitu muhimu sana. Nadhani mtakuwa mmenielewa.
Wema ana influence gani? Naona matangazoo mengiiii kumhusu yeye. Eti kahama ccm kahamia upande wa pili. Bora kukaa kama sisi ambao hatuna mlengo wowote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.