Habari.
Naomba kufahamishwa tiba sahihi ya vidonda vya tumbo. Nimepima hospital nimeambiwa vimesababishwa na bacteria. Nimetumia dawa aina ya omiprason lakin sioni mafanikio.
Sikiza wew kima,haiwezekani kupeleka maendeleo ya ziada sehem ambayo kiongozi wake hajawai kuona jitihada za serikali iliyopo madarakani. Hizo km5 za lami aliahidi endapo mbunge wa ccm atachaguliwa. Kwa hiyo huyo mbowe ni jambaz la siasa na JPM atamnyoosha kwny uchaguzi huu wa 2020,harudi bungen...
Baada ya kusubiri kwa mda mrefu kusikiliza watangaza nia ndani ya chadema,nimeona watu maalum tu ndio wameweka nia. Mpk jana ni
1. Lissu
2. Msigwa
3. Nyalandu.
Inavyoonekana ni kale ka kamati cha ruzuku ndio wanatangaza. Huo utoto ni mkubwa katika kujenga demokrasia waliyokuwa wapigiwa kelel...
TTCL nawapongeza kuendelea kutoa huduma zenye garama nafuu.
TATIZO. MAENEO YA BOMANG"OME WILAYA YA HAI HASA UKANDA WA CHINI MTANDAO UNASUMBUA SANA.KUMBUKENI TRENI INAANZA KWENDA MPK ARUSHA NA KUNA STATION KUBWA ZAIDI YA MBILI. BORESHENI MTANDAO WENU ILI WATU WASIJUTE KUNUNUA LINE ZENU. Taarifa...
Nimekumbuka Wimbo mmoja wa zamani kwenye kiitikio una maneno "Hilooo umejidai mbabe sana, leo umepigwa na kijana mdogo, aibu imekupata"
Pia, simulizi Moja ya Hayati Baba wa Taifa Mwl. Nyerere akiwaasa Watanzania wasisikilize kelele za watu bali waangalie lengo lao, alitoa mfano wa...
Kazi Inaendelea Hai,ILANI YA CCM INATEKELEZWA.
Ziara Ya Kustukiza iliyofanywa na Katibu wa CCM wilaya Ya Hai Ndugu Kumotola,akikagua utekelezaji wa ilani ya ccm Katika Kata Ya Bondeni,imekuwa ya mafanikio makubwa baada ya kutangaza neema ya ujio wa nishati ya umeme.
Akizungumza katika shule ya...
Kufuatilia sakata la mwalimu wa shule ya sekondari Lerai kuwekwa Rumande kinyume na sheria za utumishi wa umma na mkuu wa wilaya,chama cha waalimu CWT MKOA WA KILIMANJARO wamekuwa na kigugumizi cha kutafuta suluhu kati ya mkuu wa wilaya na waalimu wa wilaya ya Hai.
Waalimu hao wamekuwa wakihoji...
Taharuki,vilio na majonzi vimehamia manispaa ya moshi,mtaa wa PASUA baada ya kukuta nyumba zao zimewekwa alama ya X na maneno ONDOA na BOMOA.
Zaidi ya wakazi mi2 waliojenga katika eneo lililopimwa na serikal mwaka 2005,wamevamiwa na watu wasiojulikana kwa kuandika kwny ukuta wa nyumba zao maneno...
Baada ya dc-hai ndugu Byakanwa kunukuliwa katika mahojiano na clouds FM wakati akijitetea kuhusu swala la kumweka ndani mwalimu,japo hakusema SABABU za kumweka mwalimu ndani,alisikika akisema ametunga mitihani kwaajili ya kidato cha nne.
Katika kufatilia kauli hiyo mambo yafuatayo yamebainika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.