Ushirikina una madhara makubwa sana ,ushirikina unaangamiza,unasababisha watu kutokwa fahamu, ushirikina unaleta umasikini tofauti na dini bila dini hii amani usingeiona, bila dini kusingekuwa na hofu tungekosa miongozo ,kusingekuwa na mpangalio wa tendo la ndoa,tungeishi tu watu tusingeogopa...
Nipo very disapointed na uteuzi wa CCM, Kawe, CCM imempeleka mtu asiejiheshimu yeye binafsi, asiyeheshimu wengine, asiyeheshimu viongozi wa juu wa kidini na wala asieheshimu dini za wengine.
Gwajima amekuwa kiongozi mwenye mdomo anaeongea chochote kwa yeyote bila kupima.
Gwajima huyu ndie...
Mbona wengi wanaongelea masuala ya udini na hawakamatwi ,wakina gwajima waliongea sana kisa tu CAG kuteuliwa muislamu ,M/mungu atawanyoosha wanaojifanya miungu watu Inshaa Allah
Inna lillah waina ilayhi rajiun, moyo umehuzunika, macho yametoa machozi hatusemi ila yanayompendeza M'Mungu. ALLAH akupe kauli thabiti sheikh wetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliipata nikiwa chuo ifm ,nilipewa ada na mama wakati mm nilikuwa nalipiwa na serikali (mama hakujua) ,nikanunua vyumba hostel ifm kipindi hicho hostel dili kinoma ,nilinunua vyumba vitatu kwa laki 6 kila chumba kina vitanda vi 4 ,kila kitanda wanalala watu wawili na kila kitanda unapangisha...
Mimi kama muislamu najibu kwa mujibu wa uislamu , kwanza tambua kwakuwa unamuabudu M/mungu haina maana hautapata misukosuko hata manabii walipata shida ,wapo ambao waliouawa na binaadamu kwa ajili ya dini , Allah anasema kwenye Quran na tutawajaribu yaani tutawapa mitihani inayotokana na khofu...
Mimi nimeapa kutopiga mwizi ,na kama kuibiwa nimeibiwa kwelikweli kuanzia nyumbn wakati naishi kwetu tulivamiwa na wezi zaidi ya 15 waliiba kila kitu ,wakat naanza maisha pia nilivunjiwa gari yangu my 1st car waliiba taa ,power window ,side mirrors....urembo wa dashbord lakini haijastify mimi...
Mimi nilikuwa naamini uchawi upo lakini nilikuwa naona kama haunihusu yaani hayo mambo sio kwa ajili yangu ,ila in 2012 wakti ni watoto wawili chini ya miaka mi 4 wote haka kakubwa she was 3yrs kalikuwa kananambia baba mtu ,sisi hatumuoni kwa wakati huo tulikuwa tumebaki mimi ,shemeji wa kike...
Ubora unapimwaje ?maywether hajawahi pigwa ,mywether amempiga pac man halafu leo uniambie pac man bora ,labda fafanua bondia bora philipine au .......?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua eneo lote la muhimbili na muasisi wa muasisi wa hospitali ya muhimbili ni sheikh sewahaji ?
Unaonaga visima vingapi vimejengwa na muslim agency
Temeke kuna hospitali inajengwa mwembe yanga ,hospital ambayo wanawake watafungulishwa na wanawake wenzao tu
Vyote hivyo ni sadaka yenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.