Search results

  1. B

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Real madrid
  2. B

    Dini vs Ushirikina: Kwanini ningechagua ushirikina

    Ushirikina una madhara makubwa sana ,ushirikina unaangamiza,unasababisha watu kutokwa fahamu, ushirikina unaleta umasikini tofauti na dini bila dini hii amani usingeiona, bila dini kusingekuwa na hofu tungekosa miongozo ,kusingekuwa na mpangalio wa tendo la ndoa,tungeishi tu watu tusingeogopa...
  3. B

    Uchaguzi 2020 Lissu: Nikichaguliwa, ndani ya siku 100 za kwanza masheikh wa Uamsho wataachiwa huru

    Alishawahi sema kuwa hao ni magaidi enzi anagombea na lowasa
  4. B

    Uchaguzi 2020 Gwajima hafai kuwa mbunge, bora kupigia kura kinyago

    Nipo very disapointed na uteuzi wa CCM, Kawe, CCM imempeleka mtu asiejiheshimu yeye binafsi, asiyeheshimu wengine, asiyeheshimu viongozi wa juu wa kidini na wala asieheshimu dini za wengine. Gwajima amekuwa kiongozi mwenye mdomo anaeongea chochote kwa yeyote bila kupima. Gwajima huyu ndie...
  5. B

    Sheikh Ponda anyimwa Dhamana, kisa Waraka. Hivi Kuandika Waraka kwa Sheria za Tanzania ni Kosa?

    Mbona wengi wanaongelea masuala ya udini na hawakamatwi ,wakina gwajima waliongea sana kisa tu CAG kuteuliwa muislamu ,M/mungu atawanyoosha wanaojifanya miungu watu Inshaa Allah
  6. B

    TANZIA Sheikh Suleiman Kilemile afariki dunia

    Asante sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. B

    TANZIA Sheikh Suleiman Kilemile afariki dunia

    Inna lillah waina ilayhi rajiun, moyo umehuzunika, macho yametoa machozi hatusemi ila yanayompendeza M'Mungu. ALLAH akupe kauli thabiti sheikh wetu. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. B

    Wazungu bwana, wanajifanya wana huruma sana

    Mzungu mshenzi mno Sent using Jamii Forums mobile app
  9. B

    Wazungu bwana, wanajifanya wana huruma sana

    Kule liberia ,congo, iraq wanaishi masanamu ?Wazungu wengi ni killers Sent using Jamii Forums mobile app
  10. B

    Ulipata milioni yako ya kwanza ukiwa na umri gani? Ulipataje?

    Niliipata nikiwa chuo ifm ,nilipewa ada na mama wakati mm nilikuwa nalipiwa na serikali (mama hakujua) ,nikanunua vyumba hostel ifm kipindi hicho hostel dili kinoma ,nilinunua vyumba vitatu kwa laki 6 kila chumba kina vitanda vi 4 ,kila kitanda wanalala watu wawili na kila kitanda unapangisha...
  11. B

    Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

    Mimi kama muislamu najibu kwa mujibu wa uislamu , kwanza tambua kwakuwa unamuabudu M/mungu haina maana hautapata misukosuko hata manabii walipata shida ,wapo ambao waliouawa na binaadamu kwa ajili ya dini , Allah anasema kwenye Quran na tutawajaribu yaani tutawapa mitihani inayotokana na khofu...
  12. B

    Tukio lililotokea mwezi uliopita linanithibitishia kuwa "binadamu wote ni sawa ila hatupo sawasawa"

    Mimi nimeapa kutopiga mwizi ,na kama kuibiwa nimeibiwa kwelikweli kuanzia nyumbn wakati naishi kwetu tulivamiwa na wezi zaidi ya 15 waliiba kila kitu ,wakat naanza maisha pia nilivunjiwa gari yangu my 1st car waliiba taa ,power window ,side mirrors....urembo wa dashbord lakini haijastify mimi...
  13. B

    Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

    Mimi nilikuwa naamini uchawi upo lakini nilikuwa naona kama haunihusu yaani hayo mambo sio kwa ajili yangu ,ila in 2012 wakti ni watoto wawili chini ya miaka mi 4 wote haka kakubwa she was 3yrs kalikuwa kananambia baba mtu ,sisi hatumuoni kwa wakati huo tulikuwa tumebaki mimi ,shemeji wa kike...
  14. B

    Hawa Ndo Mabondia 50 Bora Zaidi Katika Karne ya 21

    Ubora unapimwaje ?maywether hajawahi pigwa ,mywether amempiga pac man halafu leo uniambie pac man bora ,labda fafanua bondia bora philipine au .......? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. B

    Hawa Ndo Mabondia 50 Bora Zaidi Katika Karne ya 21

    Amesema karne 21 Sent using Jamii Forums mobile app
  16. B

    Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa

    Kwahiyo mimi nikiwa sio timamu na mapombe yangu ni halili kuja kubaka nyumbani kwenu? si pombe sio mimi Sent using Jamii Forums mobile app
  17. B

    Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa

    Biblia kuchana ni kama unachana gazeti has no impact ,it is a fake book Sent using Jamii Forums mobile app
  18. B

    Wafuga mandevu njooni hapa!!!

    Mmemwona mfuga ndevu mwenzetu huyo na mvaa kanzu mwenzetu Kwako mwalimu kashasha [emoji8] Sent using Jamii Forums mobile app
  19. B

    Waislam nijibuni hili

    Unajua eneo lote la muhimbili na muasisi wa muasisi wa hospitali ya muhimbili ni sheikh sewahaji ? Unaonaga visima vingapi vimejengwa na muslim agency Temeke kuna hospitali inajengwa mwembe yanga ,hospital ambayo wanawake watafungulishwa na wanawake wenzao tu Vyote hivyo ni sadaka yenye...
Back
Top Bottom