Hilo ni kweli mkuu lakini unanishangaza unapofumbia macho maovu ya hao Israel ,unataka kuniambia kwa wale above 18 ni halali kuuawa? Watu 60+mkuu kuuawa ni wengi sana
Nimesoma kitabu cha dan brown k8naitwa deception point kiukweli hayo mambo hayapo, watu wanafanya technology zao ila wanazugia aliens ili kuwaficha watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.