Search results

  1. M

    Kwanini Upinzani hasa CHADEMA hawajadai mabadiliko kuhusu suala la uapishwaji mawakala wa vyama katika vituo vya kura?

    Kama hakutakuwa na mabadiliko sipigi kura mwaka huu na mwaka kesho(Uchaguzi ukiwa huru na haki asubuhi tuuu(Mwamba voice)
  2. M

    Tetesi: Kuna mashaka Bandarini. Serikali itoe tamko ya kinachoendelea ili kama yanayoripotiwa ni tetesi yasilete taharuki

    Keep in mind moja ya sababu ya kuuza bandari ni kuwa wezi umezidi bandarini
  3. M

    Interview ya Tundu Lissu yasitishwa Wasafi FM. Mwenyewe ang'ang'ania ofisi za Wasafi. Wakubaliana kuifanya wakati mwingine

    Kasema juzi mujahid twendeni kwa wananchi na marufuku hizo media zote zimekatazwa kurusha mikutano ya wapinzani.Jana nilijiuliza hando alifukuzwa efm,huenda na wasafi akafukuzwa.KAMA MKURUGENZI WA VIPINDI ZINAKUTOSHA jiuzulu.
  4. M

    TTCL Dodoma mnaihujumu Serikali na kukwamisha maendeleo ya wananchi

    Hii ni balaa kubwa,TAKUKURU ifanyieni kazi hii
  5. M

    TTCL Dodoma mnaihujumu Serikali na kukwamisha maendeleo ya wananchi

    NAPE,NAPE,NAPE.MAMA SAMIA NI LINI MTAIWEZESHA TTCL KUEPUKA AIBU HII[emoji24][emoji24]
  6. M

    Mlisema Hayati Magufuli amekata miti milioni 3 mvua hazitanyesha

    Wape wape vidonge vyao.........................................shauri yao
  7. M

    Mlisema Hayati Magufuli amekata miti milioni 3 mvua hazitanyesha

    Mabwawa mengi yanayotegemea mvua utendaji wake sio mzuri na mara nyingi tope hujaa na kupunguza ufanisi.Tuna jua la kutosha,tuna upepo wa kutosha yanini kutumia mapesa kibao kujenga bwawa linalotegemea mvua?
  8. M

    Mlisema Hayati Magufuli amekata miti milioni 3 mvua hazitanyesha

    Jaribu kujitambua hata kidogo,just wait mabadiliko ya tabia nchi ni halisi muda utajibu kila kitu na mtandao hua haufutiki wala hausahaui let me screenshot huu ujumbe na after six months jibu litapatikana
  9. M

    Nimewakumbuka wasanii hawa wa miaka ya 2009 kushuka chini

    Mchinga generation wana kipepeo
  10. M

    Kesi ya Wabunge 19 wasio na chama dhidi ya CHADEMA inaendelea Mahakamani, Leo ni zamu ya Cecilia Pareso

    Chadema wanaendelea na mazungumzo na ccm, na deadline ni desemba na hoja moja ni covid19 lets wait
  11. M

    Nimeachana na mke wangu

    Akijifungua atatulia
  12. M

    Kesi ya Wabunge 19 wasio na chama dhidi ya CHADEMA inaendelea Mahakamani, Leo ni zamu ya Cecilia Pareso

    Sasa alienda mahakamani kufanya nini? Nionavyo hii kesi haitaisha mpaka 25 maana hawa wakitolewa bungeni pesa ya mabeberu ya democrasia.Ndio maana ndugai na mwenda walikula dili na tulia kesha pewa maelekezo sijui jaji atahukumu vipi.Tusubiri majibu ya mazungumzo desemba
  13. M

    Siasa ndiyo chanzo kikuu cha shida ya Umeme na Maji Tanzania

    Dimbwi umenena vema kabisa.
  14. M

    Siasa ndiyo chanzo kikuu cha shida ya Umeme na Maji Tanzania

    Hatuna great thinker wizarani, Makamba wasiliana na heche miaka miwili tatizo la umeme litamalizwa na upepo na jua
Back
Top Bottom