Tehe teh!, acha tu, washindwe wenyewe sasa. Script is right here. :)
Naona DOJ wameomba muda zaidi kutafuta evidence za wiretapping, FBI sijui watasemaje hiyo kesho.
"You know you are desperate for ratings when you are willing to violate the law to push a story about two pages of tax returns from over a decade ago," the official said Tuesday"...
o_O:)
Yaani taxes za 2005 wanatoa leo?
Nikafikiri ni recent ones, wanajaribu kumuwahi Comey..
Hahaa, his famous line. "You're Fired" :D
Asee inawezekana this's a payback time. Halafu the way Comey treated Hillary with the email issue, the positive and the negative, kujichoresha na kuonekana kupendelea Repubs, halafu leo prez is acting up the way he does?
Acha tu aboreke. Asije toa...
Umenikumbusha kile kipande cha taxes za mkulu kuna mtu aliwapelekea NYT, kumbe kaomba wampelekee. WH waombe asipate, akizipata tu anazimwaga kweupe. Teh!, halafu Trump alimfagilia wakati wa Campaign.
Lakini hii ya Comey ni shughuli, he must be so over with everything going on.
...the Hell!!!, go Coomey...lol!
Atakuwa ameboreka na boss wake ku tweet kuhusu wiretapping bila ushahidi wa kutosha. Kama ilivyosemwa, Comey aliona wamewekwa pabaya na hizo tweets, institutionally. Ndo maana hata akaomba DOJ waseme chochote kukanusha, nao sijui wakakausha kwa muda. No wonder...
Heheh, I know right!
Wasije anza kumwangalia jamaa kwa jicho la pili kutoka hii habari kama walikuwa hawajafanya, Ukizingatia anavyo enda na nchi.
Assange noma sana, hivi si alitishia hata kudondosha bomu la taxes za boss?
BAK mwenzio akinyolewa lowanisha kichwa. Jamaa anawarudia sasa.
Mike Pence responds to 'absurd' accusations from Julian Assange of a White House 'takeover' plot
.."Assange continued: "Two [intelligence] officials close to Pence stated privately this month that they are planning on a Pence...
MCCain nae kashikilia hili.
Halafu swahiba wake Lindsey G. nae akasema "I'll get to the bottom of this"
Knowing that there isn't, and might not be evidence for this. Hawa wawili kama hawana hidden agenda, na wasivyopatana nae..
Halafu walimpa mpaka leo awe amewapa ushahidi.
Au ndio huo ushahidi...
Duh!, spinning at its best.
So I guess they decided the best way to save Prez from this unsubstantiated allegations is to spin this in their favour.
Ama kweli, working for 45 is a job and a half. :)
'2.1 Trillion US tourism industry to worry. Not good.
Halafu travel ban yake ya Jan Airline industry walipoteza almost $200 million.($185 million)
Kazi ipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.