Baadhi ya taa za barabarani katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu zinapowekwa kwa mara ya kwanza huwa zinawaka lakini baada ya muda utakuta au baadhi ya taa au taa zote kwenye barabara husika haziwaki.
Je, wahusika wa hizi taa ni akina nani na hawajui kama haziwaki?
Hongera, umenena vyema, hakika hakuna aliye juu ya sheria, hivyo siku zake zinahesabiwa ipo siku itafika siku hiyo inakuja.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Huyu Mange atakuwa bikira maana kwa haya matusi na lugha zake za ajabu ajabu hakuna mwanaume mwenye akili anaweza kusogelea kwa ndoa au hata urafiki tu labda awe kichaa.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Kwani huko aliko ughaibuni hawezi kushughulikiwa, kamkosea adabu Rais wetu huyu mkimbizi wa kiuchumi.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.