I wish Tz kungekua na wapelelezi wazuri wa kufuatilia mikasa ya kusisimua kama hii, wenzetu wangechunguza hadi history Nzima ya Jamaa toka alivyozaliwq wakajua why alifanya alichokifanya
Hiyo ni bei ya private room, achilia mbali matibabu binamu, sio mchezo... hospital yenyew c mchezo, sio kina kajamba nan wakizalia aga khan wanajiona ma don
Habari za chini ya kapet zinasema, mcheza filamu mwenye mvuto wa aina yake, Elizabeth Michael (lulu), amejifungua kwa operation katika hospital ya saifee, unaambia katika hospital hiyo kwa siku wanatoza 1M, kweli lulu kabarikiwa, Mungu ampe nini mtoto wa watu, mume tajir, ana mtoto dah
Kanunua gari ya ndoto za watu sio yake, domo anajitesa sana , amefanya Hayo yote kushindana na watu , watu ata waweza kweli?, all in all kuna wenye pesa zaidi yake akae akijua hilo... na akiendekeza sifa za kijinga watammaliza, watu hawapendi stepz zake
Mmh huyu shoga kidawa c mlokole Jaman , imekuaje tena , ila ninachompendea Muna linajua kujipendekeza kwa watu wa maana, ila atengeneze tu pesa, hayo mambo ya ushoga wa bobrisky hayamuhusu[emoji16]
Can’t wait for this , hii show itakua ni [emoji91][emoji91], wabongo mkae mkao wa kula mjifunze maana ya reality show sasa, ngojen wakina Zari wawatoe ushamba kidogo
This is what I have been expecting from Zari , Sasa mastaa wabongo mtulie mjifunze maana ya reality show kwa Zari sio reality show zenu hizo fake za Instagram, can’t wait for this [emoji91]
Can’t wait for this , hii show itakua ni , wabongo mkae mkao wa kula mjifunze maana ya reality show sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.