Hii ni kutoka mjengwablog...
Katika kila tufanyalo, tukumbuke, kuwa kuna Watanzania wenzetu kwa mamilioni ambao hawana huduma muhimu kwa mwanadamu. Kuna lazima ya sauti zao kusikika;
SIKILIZA:
http://kwanzajamii.podomatic.com/enclosure/2009-03-24T12_18_02-07_00.mp3
( ni kupitia mjengwablog
Pichani ni jina la gazeti jipya la ' Kwanza Jamii' linalotarajiwa kuonekana nchini kote kuanzia Machi 31, 2009. Ni jarida la uchambuzi wa masuala yanayohusu na kuigusa jamii. Haya ni pamoja na siasa, uchumi, elimu, michezo na utamaduni. Kuna masuala mtambuka pia kama...
Kuhusiana na kuacha kuandikia raia mwema Mjengwa katoa ufafanuzi huu kwenye blogu yake ( mjengwa.blogspot.com)
Taarifa nilizotoa humu bloguni kuhusu kupumzika kwangu kuandikia ' Raia Mwema' na kuondoka kwa gazeti la ' Gozi Spoti' mitaani zimepokewa na baadhi kwa mitazamo tofauti. Na ibaki...
Hii nimeisoma mjengwablog;
Nimepumzika Kuandikia Raia Mwema
Kwa wasomaji wa makala zangu,
Baadhi yenu mmeshangaa kutonisoma kwenye ' Raia Mwema' toleo la jana. Nawajulisha kuwa nimepumzika kuliandikia gazeti la Raia Mwema ili niweze kuwaongoza wenzangu tulioshiriki kuandaa gazeti la Gozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.