Search results

  1. J

    Mh. Joseph Mbillinyi familia yako inakulilia

    Sio kweli wakati mwingine familia inakua chungu kuliko watu wengine wanavyo kueshimu na kukujari, faidha amekwenda kwenye media wakati kiukweli kuna mahakama na ustawiwajamii, kuna familia pia ambavyo vyote vinaweza kutoa maamuzi mazuri lakin si media ambayo mchango wake huwa si mzuri maana huwa...
  2. J

    Gharama zinazoambatana na serikali tatu, mpo tayari kodi zipande?

    Nisawa unavyo sema lakini sivyema kukumbatia matatizo ambayo yanatutafuna kimya kimya maana kwa upande wangu siwapendi kabisa wanasiasa maana wengi ni wanafiki na wazuri wamemezwa kwenye kundi la wanafiki. Ivyo ndugu tulipofika kwa sasa sio pazuri na tunapoelekea ni pabaya zaidi
  3. J

    Gharama zinazoambatana na serikali tatu, mpo tayari kodi zipande?

    Wakati mwingine ni bora kuingia gharama kuliko kuendelea kupigana na kumwagiana tindikali. Wao wanataka zanzibar yao iwe huru kwa nin tung'anie au mpaka tuanze kuchinjana kama wanavyofanya wenzetu ndio tuone kuwa tunaitaji suluhu! Mh j. Warioba kafafanua vizuri sana na kajitaidi kuonesha mzizi...
  4. J

    Ni kwa nini CCM wanahofu ya JK kuzomewa bungeni ijumaa?

    Alisharushiwa mawe, sembuse makelele
  5. J

    kama nchi yetu niya amani kwanini Rais anawalinzi wawili?

    Obama na tanzania ni tofauti wenzetu wameendelea.sasa kama imepitwa na wakati kamuulize mzee wetu mwinyi ndio utajua umuhimu wa wale walinzi wa wili
  6. J

    Kazi TAKUKURU

    Kaka naomba unitumie nami pia. Jobmwakalosi21@gmail.com
  7. J

    Mbowe akatisha ziara yake nchini Denmark kutokana na kifo cha dada yake

    Tatizo unazani kurudi kwenu ukiwa kwenye nchi za watu nisawa na kupanda baiskeli kwa jirani. Huko kunataratibu na pia ratiba za ndege pia zinakua tofauti.
  8. J

    Hivi nikweli leo Tanzania imefunga Ubalozi wake Rwanda?

    Nazani mnazani vita nisawa nakuangali tv za majumbani kwenu jitoleeni umoja wa taifa somalia siku moja afu muone
Back
Top Bottom