mmmmmh! hapo tegemeen majanga mengine 2015 wakati hao watakaopita si watakuwa kidato cha sita wakipambana vikali na uchaguzi,je kama sensa tu matokeo hayo sembuse uchaguzi! yan nouuuma!
hiyo wazungu wanaita "revolution" hasa ktk mwaka 2012 sabab migomo mingi mwaka huu madaktari,walimu pia zoez la sensa swali la kujiuliza kwa wale wanafunz wa shule za kata ilikuwaje katika kusoma kwao?na kama tunavyofamu ufundishaji wa shule hiz je wanfunz walimaliza topic walizotakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.