Kwa nilivyokuwa naelewa, kabla ya uchaguzi wa Oct 31, 2010 ni kwamba Compyuta inarahisisha utendaji wa kazi. lakin katika hali ya kushangaza nimesikia matumizi ya kompyuta ndio yanayosababisha ucheweshaji wa matokeo ya uraisi. ninaomba msaada kwa hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.