Mwenyezi Mungu yuko zaidi ya Dimension ya 13 huko (Utakatifuni hasa), wakati sisi tupo Dimension ya 3 hapa (ulimwengu wa nyama) na zaidi tukifa kweli (tukifa kweli) tunarudi home hapo Dimension ya 4 (home sweet home). Ili uweze kufika Dimension ya 5 yakupasa kushinda mitihani kwelikweli hapa...
Ni lazima urudi nyumbani kwanza huko 5th Dimension, hapa tupo 3rd Dimension na hapo 4th Dimension ndio kwenye Astral plane ambako wajuzi wanaacha miili yao wanakwenda tembea na kurudia miili yao.
Sasa ukifa ukaridhia kurudi nyumbani (maana kuna wengine wanakua hawapo tayari bado kurudi, ndio...
1 Wakorintho 7:26- 28 Mtume Paulo anasema;-
26 Kwa sababu ya dhiki iliyopo, nadhani itakuwa vyema mkibaki kama mlivyo.
27 Je, umeoa? Basi usitake talaka. Kama hujaoa usitafute mke.
28 Lakini kama ukioa, hujatenda dhambi; na kama bikira akiolewa hajatenda dhambi. Lakini wanaooa watakabiliana...
Umeandika kwa hisia sana kaka Mshana. Ama kwa hakika inafikirisha sana.
Ila hili suala la kuoa ama kuto oa naona kama Mtume Paulo kalizungumzia kwenye kitabu cha kwanza cha Wakoritho 7: 25-26 akisema kwa hali ya sasa ni afadhali kuto kuoa. Ona hapa chini;-
25 Sasa, kuhusu wale walio bikira...
Pia angalia ya BancABC, unaipata maramoja na inaanza kufanya kazi ndani ya masaa mawili. Gharama yake ni kama shilingi elfu arobaini na tano hivi kwa akaunti ya shilingi kama sikosei. Waweza ipata kwa dola, euro, gbp n.k
Na kama unatuma pesa toka Skrill au mobile wallet ninyine yeyote kuja...
Green Card ni bure kabisa na hakuna tozo yeyote mpaka pale utakaposhinda na kutakiwa kulipia gharama za viza n.k. Hao wanopigwa ni majuha wasiotaka kutafuta taarifa sahihi na kutegemea kuambiwa na matapeli.
Forex ni betting sawa sawa na Sports betting kutumia Betting exchanges kama vile Betfair. Misingi ni ile ile uza/ununua (Bet/Lay). Hivyo akili na maarifa yanatumika.
Strategies mbalimbali kama vile Arbitrage na Scalping hutumika kote kwenye Forex na Sports betting (kwa kutumia betting...
Arbitrage betting ni sure way ya kupata pesa kwenye betting. Tatizo hioz nafasi za arbitrage zinakuwa hewani ndani ya muda mfupi sana kuweza kuzitumia na pia ikiwepo inahitajika utumia pesa nyingi kwenye kulay bet kwa Betfair. Si amini kwamba arbitrage ndiyo inayowapa pesa za kuweza lipa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.