Tunashukuru kwa taarifa kuwa matokeo yatatoka Jumapili. Lakini mie naona kuwaambia watu waliopata ajali ya moto kama zawadi yao ni kutangazwa kwa matokeo ni kama kuwakejeli.
Ikumbukwe kwamba waliomaliza kidato cha nne wanaosubiri matokeo sio sehemu ya waliopata ajali ya moto maana waliondoka...
Ukisikia kichwa cha mwendawazimu ndiyo elimu ya Tanzania. Kila mtu anaichezea anavyotaka halafu eti kuanzia Kidato cha 4, 2014 wanatumia GPA. Tatizo siasa imeingia sana NECTA sijui kama Prof Mukandala Mwenyekiti wa bodi ya NECTA anajua maana ya ufaulu wa F6 ambao umetangazwa.
Ukisema ufaulu...
Mkuu uko sahihi hawa watu wako smart sana. Hebu angalia matokeo ya hao wanafunzi yalivyopangwa na kwa bahati mbaya au nzuri hao ni Ndugu. Kama hauko SMART huwezi kuelewa
S0392/0540 F 9 II G/STUDIES - 'D' GEOGR - 'D' IS/KNOWLEDGE - 'B' KISWAHILI - 'B' ENGLISH - 'B'
S0188/0520 F...
Mkuu hayo matokeo nimepitia kwenye tovuti ya NECTA yote yako sahihi. Kwa mfano No 1 angalia hiyo link http://www.necta.go.tz/matokeo2014/ACSEE2014/s0432.htm
Div II vipi, pointi 8-9 hapo ndiyo wameachia eeeh! Ila mkizoea vya kunyonga na vya kuchinja mviweze. Mlipokuwa mnafurahia thamani ya alama za grade kushushwa mlitegemea nini?
Angalau Bodi ya Mikopo itapumua maana watakaoweza kupata mikopo watapungua
Kama sababu ni kuwa thamani ya grade imeshuka, sasa walikuwa wanaishusha ya nini? Kwa nini isibaki kama ilivyokuwa na madaraja yakabaki kama zamani?
Kuna faida gani ya kuweka Gredi E lakini mtu akipata E zote amefeli?
Kwa nini wasingeacha tu F bila kuweka E ambayo imeleta ubaguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.