Mwaume nae mzazi na anahaki ya kukaa na mtoto wake kama anaaminiwa anaweza kukaa nae, zaidi hayo masuala mengine mimi sijayashuhudia ila niliambiwa na mtoto na nilihakikisha nimemwambia ili achukue hatue.
Baba yangu hajazaa na mimi kiasi chakuanza kumkatalia mtu mtoto wake, mtu mwenye akili...
Aisee!!!!!!!!!
Sikiliza nikwambie, isiishi kwakuongozwa na hisia,
Sitaki kutenda dhambi, baba yake mtoto anampenda mtoto wake kuliko unavyofikiria, kwa hilo sina shaka, tatizo mtoto analelewa kwao na yeye yupo hapo kwao sababu anawaangalia pia wazazi wake, tatizo ni waangalizi wa mtoto pale...
Kwa sasa siwezi kukaa nae, nipo masomoni ndio sababu kubwa ya kumwachia, anafahamu na hata ustawi wa jamii walimwambia mwakani mtoto lazima nimchukue, ivo kwa sasa sina tatizo na yeye kukaa nae, tatizo ni yeye kutumia matusi na jazba bila sababu.
Kaka usiongee kirahisi, sikumuacha mtoto kwakua nataka kujiachia, niliyajua yote hayo na nilipiga moyo konde kwamba sina namna, Nilimwacha kwake kwakua nipo masomoni sasa mlitaka mim nifanyeje??? Hata ningeweza kumpeleka kwetu ila najua huyu mwanaume angekwazana na wazazi wangu tu, hasa...
Kuhusu kuwa watoto wa uswaz inawezekana.
Ila kiumri sio watoto kama uwazavyo, hata wew ni mdogo sana kwangu achilia yeye aliyekuacha maaka zaidi ya 10, nimekwambia hayo kwakua nakufahamu vizuri sana.
Si rahisi kama unavyofikiria kwanza kwa wazaz kuachana, ukiona hyo ujue hali ilishindikana kabisa.
Hata hvyo mtoto yupo kwa wazazi wake, kwa kua hata yeye anakaa kwao muda mwingi, mim sina tatizo nae kikubwa mtoto ninapomuhtaj nimpate, ila sio mambo ya matusi wakati kila mtu anaendelea na...
Evelyn Salt sikumuacha tu ati mim nakula maisha hapana, nilimwachia kwa kua nipo masomoni, mwanzo nilitaka niwaachia wazazi wangu lakini anatabia ya ugomvi sana so nikamwachia yey hata hvyo yey anaishi kwa wazazi wake mara nyingi ila ndio hvo. Ila mwakani nitamchukua.
Miaka 7 ilitosha sana kujua hayo unayoyasema.
Nataka nikuhakishie, nilipokuwa nae nilijitoa mimi sana, na tulifanya vitu vya maana sana tu, sasa kapata mke mwema kaona ndivyo sivyo ndio anagundua mimi nilikuwa muhimu kwake, akinipigia nikamwambia ukweli anatukana sasa hiyo akili au matope, yeye...
Namuhitaji mtoto hata leo, lakini tatizo ni mtu mwenye roho ya ugomvi nikaona isiwe tabu mtoto huyo mchukue, akamchukua anakaa nae kwa wazazi wake. miaka 5
Nimelisha anzisha jaribu kuwa nawatuma wadogo zangu kwenda kumuona mtoto na hata kumchukua, akawa analalamika kwa watu mimi siendi kumuona mtoto wala sipigi sim, pia walikua wanawatreat vibaya sana wadogo zangu wakienda pale, yaani kuna wakati nilibadili line hadi nikahisi kuchanganyikiwa...
Naomba kusema, wanaume tuheshimiane tena tuheshimiane, tabia ya kuachana na mwanamke lakini huishi kumfuata fuata kwa maneno jiheshimu tena jiheshimu.
Nimechoka na nimekuchoka ndio maana nimekuja kukuambia hapa, kwa kuwa ni member hapa najua utasoma na unajua mimi ni nani.
Nimechoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.