Shida kubwa ni ufisadi kwenye matumizi ya kodi kusanywa.
Kila mtu angetamani kulipa kodi kama tungeweza kudhibiti wizi na ufisadi wa kodi kusanywa,kama kodi ingetumika kwa manufaa ya wote.
Mtu akishajua kodi yake inaenda kunufaisha wachache na familia zao,kamwe hawezi kuwa na morale ya kulipa...
Country first,urafiki baadae,na ndiyo uzalendo wenyewe
Kikwete anastahili pongezi kwa kuwa na uwezo wa mpaka kukata jina la rafiki yake kwa maslahi mapana ya nchi.
Muhammad hakusoma.Alikuwa hajui kusoma wala kuandika.Na hapa ndipo kwenye msingi wa tatizo.
Paulo alikuwa msomi kwa viwango vyovyote vya wakati ule.Akisimama akaongea utapenda kumsikiliza,akiandika utapenda kumsoma.Hakutumia miguvu wala kutisha,kudhuru au kuua watu ili wamfuate.
Ukristo...
Ardhi siyo yako ni ya umma
Muda wowote unaweza kunyang'anywa kama itahitajika kufanya jambo lenye manufaa kwa wengi
Lakini wakikunyang'anya ni lazima wakulipe fidia
Acha kulalamika hapa,tafuta mwanasheria,peleka kesi mahakamani.
Kama huna ubavu,potezea tu kama umetoa sadaka kanisani au msikitini.
Hii Dunia ni mbwa kala mbwa
It should be fair and prompt compensation ndivyo Sheria inavyosema.
Kwahiyo ni lazima wakulipe kulingana na thamani ya ardhi na vilivyomo ikiwemo nyumba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.