Kweli kbs mkuu, huku kwetu Songea wana mambo ya ajabu sana, sisi tulimzika baba yetu mpendwa 2016, mwaka 2017 tukaenda kujengea kaburi lakini baada ya hapo ndio imekua nitolee yaani. Wao ndio wanawezana ila sisi tuliokulia mjini tunahofia maana afadhali basi hata kama ndugu yako ni mwanga basi...
Habari zenu wanajamii forum, naomba mnisaidie natafuta shule binafsi ya boarding kwa ajili ya mdogo wangu ili ahamie kidato cha tatu. Kwa yeyote ayejua shule nzuri tafadhali usisite
Sure, ile shule pia wana masharti sana...kama huna ndugu Mbeya mwanao anakosa nafasi. Na hawana special diet kwa watoto wagonjwa.mf mwenye ulcers. Mdogo wetu tulishindwa kumpeleka
Soma unachokiweza otherwise utaaribu kazi za watu. Tz kazi inategemea si lazima ulichochosomea ndo utafanyia kazi. Tunamadokta na maprofesseri wengi tu ila ni wanasiasa.
Acha mambo ya kizamani eti ukisoma Geography na Math utakua rubani...mf mm nimesoma science lkn niulize nafanya kazi inahusu...
Maoni yangu...ni kwamba, CDM inadeal na vijana ambao asilimia kubwa hawapigi kura...na kubabaika na makundi ya wapiga soga wa mijini.
Janja ya CCM ni hii hapa..akiMama au Wanawake. Ndo wapiga kura maarufu nchi hii miaka nenda miaka rudi. Ukiangalia CCM imeweza ku-organise vikundi wakiiviita...
Hapo ndo patamu, cjui nitoke kipapaaa au nitoke kitizi zaidi? Haijulikani kama ni interview ya mazoezi au ya nn....atakayejua pliz atupe infor maana....mmh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.