Mwanamuke ni pesa, mwanamuke matunzo.
Pesa inaleta tacko.
Pesa inaleta rangi ya chungwa.
Money is everything.
Nimedanga hapa mjini nimemaliza wanaume wote pesa, sasa hivi ninafanya kuwarudia tu.
Pesa ninayo, nimezaliwa mzuri, nimezaa watoto wazuri na vibosile.
Ila umalaya siachi wananitaka...
Nimshtaki wapi?ikiwa mkuu wa kituo hatoi ushiriakiano?
Polisi huyu anafanya kazi mahakama ya wilaya.
Ni wale wanaolinda watuhumiwa.
Yeye na mahakimu wa pale lao moja wanashirikiana kwenye magendo mengine.
Naona hata nikifungua kesi sitofanikiwa.
Ninawezaje kupata haki yangu kwa huyu askari polisi?
Ninamdai kiasi kadhaa alipata ajali ya gari akahitaji kiasi hiko atengeneze gari.
Nilimpatia pasi maandishi, lakini nilimrekodi(audio) na wakati namdai pia nilimrekodi.
Sasa ninaambulia matusi na kejeli.
Nimeenda kwa mkuu wa kituo ili...
oo Yeah total turnoff mwanawume asiye na pesa huyu hata hotelin he will ask price of water before ordering.
money is everything mwanaume asiye na hela anakuwa musumbufu sana kind of zezeta.
Hasa mliofikisha miaka 36 na kuendelea, msipokuwa na pesa mnakuwa hovyohovyo hamna swaga, hamjiamini kila saa kusumbuana kwa msg, mvi zinawatoka, majasho, makunyazi, munakosa nuru kunawiri kwa ufupi munakuwa waovyo.
Mwanamume mwenye pesa mob mutamu sana, self confidence, napewa nachotaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.