Inashauriwa kulala masaa 6-8 kwa siku. Lakini itakuaje kama ukiacha kusinzia kabisa?
Kwa kawaida binadamu hutumia theluthi moja (⅓) ya maisha yake akisinzia. Hii ina maana mtu aliyeishia miaka 60, basi ametumia miaka 20 kulala. Kama tusipolala ni wazi tutapata muda wa kutosha kufanya mambo...
Matokeo ya form four kupangwa upya na
kufanyiwa standardisation, kutokana na
necta kutumia mfumo mpya ambao
hawakuufanyia utafiti;
tusaidiane jamani ,sasa jamani hivi haya
matokeo yanapangwa upya, kitu
kinachomaanisha kuna possibility kubwa
ya matokeo kubadilika kutoka grade moja
hadi nyingine...
Baada ya kuwa na habari nyingi na tofauti tofauti kwa muda mrefu, leo tunafikia kikomo. Ni kweli kwamba matokeo yana asilimia 99 ya kutoka leo kama ukifuatili historia. Kwa miaka mitatu iliyopita matokeo ya kidato cha sita yamekuwa yakitolewa tarehe 1 mei. Ila kama historia isipojirudia basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.